CognizantmycineMwekezaji Ni Dewji na Viongozi wako / wenzako akina Salim Abdallah Mhene 'Try Again", Murtaza Mangungu na CEO Imani Kajula upesi sana kaeni Kitako na Wachezaji wa Simba SC myamalize kwani Upuuzi huu wa Kinatokea ukiendelea mtakuja Kupigwa / Kuchapika vibaya na Mashabiki na hiyo Timu itatekwa Kimafia na itaenda jinsi ambavyo Mafia tunataka iende ili irejeshe Furaha na Imani kwa Wengi.
Kwa Mkapa Hatutoki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwekezaji Ni Dewji na Viongozi wako / wenzako akina Salim Abdallah Mhene 'Try Again", Murtaza Mangungu na CEO Imani Kajula upesi sana kaeni Kitako na Wachezaji wa Simba SC myamalize kwani Upuuzi huu wa Kinatokea ukiendelea mtakuja Kupigwa / Kuchapika vibaya na Mashabiki na hiyo Timu itatekwa Kimafia na itaenda jinsi ambavyo Mafia tunataka iende ili irejeshe Furaha na Imani kwa Wengi.
π€£π€£Supu ya baridi tena?Wewe waitress Cognizant hebu niletee MO ndogo pamoja na Supu ya Pweza ya Bariiiiiiiiiidi!
Hauko sana mbali na Ukweli kamili.simba ni genge la wahuni