Tubadilishane uzoefu kuhusu kipindi baada ya kumaliza masomo, kutafuta ajira au kujiajiri

Tubadilishane uzoefu kuhusu kipindi baada ya kumaliza masomo, kutafuta ajira au kujiajiri

Joseph_Mungure

Senior Member
Joined
Mar 6, 2021
Posts
110
Reaction score
167
Kutokana na vijana wengi kupitia changamoto mara baada ya kumaliza masomo. Nimeona niandike uzi huu ili kutoa nafasi ya kubadilishana uzoefu na taarifa mbalimbali kuhusu changamoto ya ajira na kujiajiri.

Ningependa kupata maoni mbalimbali ya wadau kwa maana wanafunzi, watafuta ajira, waajiri, wafanyabishara na makundi mengine yenye mchango chanya.

Je, wewe unapitia/ulipitia changamoto gani na ulifanya nini ili kuzishinda, mbinu na fursa mbalimbali?
 
Kutokana na vijana wengi kupitia changamoto mara baada ya kumaliza masomo. Nimeona niandike uzi huu ili kutoa nafasi ya kubadilishana uzoefu na taarifa mbalimbali kuhusu changamoto ya ajira na kujiajiri.

Ningependa kupata maoni mbalimbali ya wadau kwa maana wanafunzi, watafuta ajira, waajiri, wafanyabishara na makundi mengine yenye mchango chanya.

Je, wewe unapitia/ulipitia changamoto gani na ulifanya nini ili kuzishinda, mbinu na fursa mbalimbali?

Mwaka wa tano huu

Nimefanya umachinga
Ulevi
Umalaya
Ufugaji
Kuwekwa kusimamia vimiradi vya mzee
Nimeozeshwa nikarudishwa home ili nikae kuribia na wqzee maana wako wenyewe na ni wazee

I tried suicide

Na kwq sasa nimetuliza akili
 
Kama umetoka familia hoi haeeeee ,basi hakuna rangi utaacha kuona kwenye haya maishaaa ...!!!
 
Mwaka wa tano huu

Nimefanya umachinga
Ulevi
Umalaya
Ufugaji
Kuwekwa kusimamia vimiradi vya mzee
Nimeozeshwa nikarudishwa home ili nikae kuribia na wqzee maana wako wenyewe na ni wazee

I tried suicide

Na kwq sasa nimetuliza akili
Kwanini ulitaka kujiua?
 
Mwaka wa tano huu

Nimefanya umachinga
Ulevi
Umalaya
Ufugaji
Kuwekwa kusimamia vimiradi vya mzee
Nimeozeshwa nikarudishwa home ili nikae kuribia na wqzee maana wako wenyewe na ni wazee

I tried suicide

Na kwq sasa nimetuliza akili
Dah! Mkuu kujiua sio solution Mimi nimejifunza kuwa hakuna shida ya kudumu duniani
 
Back
Top Bottom