Hoja hii inafaa kuipeleka katika Halmashauri ya Manispaa ya Arusha. Madiwani wana uwezo kisheria kubadili majina ya Miji na vitongoji vyao iwapo wataona kuna umuhimu wa kufanya hivyo.
Pamoja na yote sioni mantiki yoyote ya kuita mji wa Arusha.. Kilimanjaro...!
......Kwa wenyeji wa Arusha ..hili jina lina maana kubwa sana....na ya maana...nakumbuka kuongea na wazee zamani na waliniambia..sema nimesahau..kwa kuwa sikuchukulia umuhimu kwa miaka hiyo..........
wapi MORANI 79...yerrro ..taee njoo elesea iko na maana gani hii jina ati!!!
Kwi kwi kwi.
Challenges, how many tourists are interested with the name "Arusha" and how many are interested with tha name "Kilimanjaro", "Serengeti", "Zanzibar" etc?
Kwa hiyo tunadumilisha mila eehee!!! Haya bwana
Hatutoi majina ya maeneo kwaajili ya kujiuza bali kutambulika/kuenzi wazee maarufu au viongozi. Tunapaswa kutangaza utalii kwa mikakati bora (tujifunze Kenya) kwani tunaweza kubadili jina la Arusha bado kusiwe na impact katika utalii. Mkoa Manyara umepata watalii wangapi baada ya kuitwa MANYARA?
But is good idea.
Manyara ni kitu kidogo kwenye utalii wa Kimataifa,,, lakini Serengeti na Kilimanjaro ni majina makubwa... ingekuwa poa kama unaleta watalii kwenye uwanja wa Kilimanjaro, wanaona Mlima kilimanjaro, wanalala kwenye Mji wa Kilimanjaro... na Mikutano ya kimataifa inafanyika kwenye jiji la Kilimanjaro... jii inaua kabisa contradiction kwamba Kilimanjaro iko wapi?
Manyara ni kitu kidogo kwenye utalii wa Kimataifa,,, lakini Serengeti na Kilimanjaro ni majina makubwa... ingekuwa poa kama unaleta watalii kwenye uwanja wa Kilimanjaro, wanaona Mlima kilimanjaro, wanalala kwenye Mji wa Kilimanjaro... na Mikutano ya kimataifa inafanyika kwenye jiji la Kilimanjaro... jii inaua kabisa contradiction kwamba Kilimanjaro iko wapi?
Hoja kwa kweli sio kwa ajili ya malumbano... nilisema kwamba mashuleni tumekaririshwa kwamba tutangaze utalii kwa namna fulani... sasa strategy hii niliyotoa kama changamoto ni tofauti na haiko kwenye vitabu moja kwa moja.
Ila bado ukisoma hoja yangu kwa makini (A to G) uta-draw point kwamba kwenye ile A-G kulikuwa na mtiririko wa ku-justify mabadiliko ninayoyaomba bila kuelezea maelezo mengi zaidi. Just go through those points again na nipe specific ipi hailewi logic yake then i can start from there!!!
Solution za Kuikomboa hii nchi mara nyingi hazitakuwa zile popular kama kukamata madini Airport yenye thamani ya mil 150, au kurudisha Bil. 133 za EPA etc... then after that what else... we need vitu endelevu !!! sasa katika kuvitoa hivi kwa kweli vitakuja vingi ambavyo sio popular kama hili langu... lakini eventually people will understand.