Moderators naomba msifute uzi huu.
Ngoja tutabiri (tu bet)Msigwa atapata nafasi gani ya uteuzi CCM
Mimi nasema atapewa nafasi ya kuwaumiza chadema kama Mkuu wa wilaya/ Mkuu wa mkoa aweze kuwasweka ndani maana atakuwa ni mwenyekiti wa ulinzi wa wilaya/Mkoa.
Ngoja tutabiri (tu bet)Msigwa atapata nafasi gani ya uteuzi CCM
Mimi nasema atapewa nafasi ya kuwaumiza chadema kama Mkuu wa wilaya/ Mkuu wa mkoa aweze kuwasweka ndani maana atakuwa ni mwenyekiti wa ulinzi wa wilaya/Mkoa.