VAPS
JF-Expert Member
- Jul 10, 2012
- 5,610
- 13,168
Taifa letu ni tajiri wa ardhi na mifugo mingi isiyo na tija stahiki, ardhi inapungua kila uchao. Zimekuwepo jitihada kiduchu kuboresha mbegu. Serikali na wasomi wetu kuweni makini.
Kupanga ni kuchagua garama ya dreamliner moja tupieni kuzalisha mitama bora mbuzi na ng'ombe kisha wagawiwe kwa wafugaji tuwe na mifugo michache nyenye tija kubwa nyama na maziwa.
Si mtaalamu japo wanaweza jifunza cross bleed study wenzetu kisha tutumie wanyama pori wetu kupata resistance magonjwa na hali ya hewa. Tutaweza kupata nyama bora kwa viwanda na chakula pia.
Kupanga ni kuchagua garama ya dreamliner moja tupieni kuzalisha mitama bora mbuzi na ng'ombe kisha wagawiwe kwa wafugaji tuwe na mifugo michache nyenye tija kubwa nyama na maziwa.
Si mtaalamu japo wanaweza jifunza cross bleed study wenzetu kisha tutumie wanyama pori wetu kupata resistance magonjwa na hali ya hewa. Tutaweza kupata nyama bora kwa viwanda na chakula pia.