Nakuunga mkono VAPS juu ya ufugaji wenye tija kwani ni vyema wafugaji wafuge idadi ya wanyama wanaoweza kuwamudu kuwatunza kuliko kuwa na idadi kubwa ambayo utunzaji wake ni mgumu zaidi kuanzia malisho, matibabu, makazi, upendo, ufuatiliaji...n.k. matokeo yake mfugaji anajikuta ametumia nguvu na gharama kubwa kuliko mapato.