Baadhi ya madhara ya uwepo wa viongozi haramu walioteuliwa na serikali kimabavu katika ngazi ya serikali za mitaa.
1. Shughuli za kijamii katika vijiji, mitaa, vitongoji kukwama kwa kupata upinzani wa wananchi.
2. Viongozi hawa haramu kuwaogopa wananchi, hivyo kuathiri watendaji wao.
3. Kuzua na kukuza migogoro badala ya kusuluhisha na kuleta amani.
4. Wananchi kubaguliwa kwa misingi ya itikadi na vyama wanavyojihusisha navyo au kuvishabikia.
5. Kuibuka kwa ubaguzi wa waziwazi kati ya raia. Kukua kwa chuki katika jamii. Serikali kukosa njia za kuwafikia wananchi hata kwa mambo ya muhimu sana.
..........
1. Shughuli za kijamii katika vijiji, mitaa, vitongoji kukwama kwa kupata upinzani wa wananchi.
2. Viongozi hawa haramu kuwaogopa wananchi, hivyo kuathiri watendaji wao.
3. Kuzua na kukuza migogoro badala ya kusuluhisha na kuleta amani.
4. Wananchi kubaguliwa kwa misingi ya itikadi na vyama wanavyojihusisha navyo au kuvishabikia.
5. Kuibuka kwa ubaguzi wa waziwazi kati ya raia. Kukua kwa chuki katika jamii. Serikali kukosa njia za kuwafikia wananchi hata kwa mambo ya muhimu sana.
..........