Huku kwetu mwenyekiti wa serikali za mtaa ana week sasa hatoki ndani kwake. Malalamiko ya wana CCM anapokelea dirishani kwa kuchungulia na kunong'ona. Wana UPINZANI wametoa dau nono kwa atakae mgonga "MKE WA MWENYEKITI" (atakae mzibua mtaro dau linapanda mara mbili, atakae mjaza mimba dau mara tatu).
Wamechaguliwa bila kupingwa ila wanaishi maisha ya tabu sana, maisha ya kujificha na hawaijui kesho yao kama swala wa porini.
Sipati picha, siku ajitie wazimu wa kutoka halafu atembee na mgambo kwenda kukamata & kupiga fine 50,000/= Tsh nyumba zenye uchafu nje. Watamvunja miguu na mikono raia!!!!
#Swala la kuwalazimisha viongozi wa mitaa/vitongoji/vijiji kwa nguvu ni kuwalazimisha wananchi wapate kesi. Ni uchochezi wa machafuko baina ya raia na hao viongozi. Viongozi hawa wengi watakuja kuchezea kichapo kitakatifu maana wananchi hawawapi ushirikiano na wala hawawakubali kabisa, halafu wananchi wapelekewe defender mtaani.