Mwana Mwema
Senior Member
- Nov 15, 2012
- 143
- 133
Hodi humu!
Kuna jamaa walikuwa watatu wakaingia hotelini kupata msosi, kama kawaida yao wanajua plate moja ya msosi ni sh 10, kwavile wako watatu wakaona sio poa wote kwenda kaunta kuweka kiwingu ikabidi wamuagize mmoja akalipie.
Jamaa kufika kaunta, kumbe siku hiyo kuna offer ukinunua plate tatu unauziwa sh 25. Kaunta akapiga hesabu akaona nikiwarudishia sh 5 hawa jamaa watashindwa kugawana, ngoja niwarudiahie sh 3 ili wagawane sh 1 kila mtu, wakawa wamenunua plate kwa sh 9 kila mmoja.
Kaunta akawa amewapiga sh. 2. No sweat!!
Wale jamaa baada ya kila mmoja kurudishiwa sh. 1, wakajua msosi leo ni sh 9.
Tuje kwenye swali la msingi:
Ukipiga hesabu, sh 9(bei ya plate) mara 3(idadi yao) unapata sh 27, kaunta kawapiga sh 2 jumla sh 29, mwanzo walichanga sh 30, wakuu nisaidieni kuitafuta hii shilingi moja ilipo?
Kama una mafumbo kama haya tupia tuchangamshe vichwa kidogo.
Kuna jamaa walikuwa watatu wakaingia hotelini kupata msosi, kama kawaida yao wanajua plate moja ya msosi ni sh 10, kwavile wako watatu wakaona sio poa wote kwenda kaunta kuweka kiwingu ikabidi wamuagize mmoja akalipie.
Jamaa kufika kaunta, kumbe siku hiyo kuna offer ukinunua plate tatu unauziwa sh 25. Kaunta akapiga hesabu akaona nikiwarudishia sh 5 hawa jamaa watashindwa kugawana, ngoja niwarudiahie sh 3 ili wagawane sh 1 kila mtu, wakawa wamenunua plate kwa sh 9 kila mmoja.
Kaunta akawa amewapiga sh. 2. No sweat!!
Wale jamaa baada ya kila mmoja kurudishiwa sh. 1, wakajua msosi leo ni sh 9.
Tuje kwenye swali la msingi:
Ukipiga hesabu, sh 9(bei ya plate) mara 3(idadi yao) unapata sh 27, kaunta kawapiga sh 2 jumla sh 29, mwanzo walichanga sh 30, wakuu nisaidieni kuitafuta hii shilingi moja ilipo?
Kama una mafumbo kama haya tupia tuchangamshe vichwa kidogo.