Hao ni wachaga bana ww wacha kutuaibisha wanyakyusaWanawake wa kinyakyusa hawajui kupika samaki wa mchuzi unakuta anaweka mchuzi mwingi mpaka samaki anafufuka na kuanza kula vitunguu kwenye chungu .......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hana adabu huyo. Wanyaki tunapika hadi basi