Kamà kashindwa pale PSG huku akiwa na Neymar na Mbape itakuwa hapo Chelsea!. Kimsingi si kocha mbaya il ligi ya England ni habari nyingine!.. Kimsingi makocha wakishazijua vizuri mbinu zake utashangaa kitakachotokea!.. Tusubiri msimu uishe ndie muanze kufungua nyuzi za kusifu