Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
TUCHUKUE LIPI, TULIACHE LIPI
ENZI ZA UTOTO - SONGA
NIKIRI wazi kuwa miongoni mwa "madundo" ya maana kabisa aliyoyasuka DUKE ambayo sikuyataja kwenye orodha yangu, basi hili limo pia.
Turudi kwenye ngoma hii,
"SEBULE DISKO, JIRUSHE KWENYE MAKOCHI" 00;44
"TENA BEKI TATU ALIVYO MNOKO
UKIFANYA SOO, YE NDO ANAKUSAKA KILA CHOCHO" 00;52
Hizi ni nukuu zinazoonesha Songa alikuwa na UTOTO wa kishua enzi zake. Hakuna majamvi wala mikeka kwao, full kubebishwa miksa mpaka kuajiri mfanyakazi wa ndani (dada wa kazi)
Hizi zipo kwenye vesi ya kwanza
Lakini anapoifungua na kuifunga vesi ya pili anaonesha kuwa alikuwa na ule UTOTO ambao wengi wetu tumeupitia uswahilini.
"MTOTO WA USWAZI SIIJUI MIDOLI WALA TOY/ KILA SIKU INAISHA NAMBONJI NIKIWA HOI"
Hapa sijagusia ununda wa kutotaka kuoga, kusubiria kwa hamu ndondo na wali na kupiga chenga kuoga.
Nikirudi hapo kwenye kutoijua MIDOLI wala toy wakati kwao "mambo mazuri" full muvi za Jet Lee au Jackie Chan, kuna kitu sielewi!
Kwamba walikuwa na TV ndani lakini hakununuliwa MIDOLI? Pesa ya kununua TV na makochi na kumlipa beki tatu ilikuwepo ila pesa ya kununulia MIDOLI haikuwepo?
Kwa aliyeusikiliza vizuri huu wimbo zaidi ya mara moja anisaidie!!
AMANI SANA.
LUAH.
ENZI ZA UTOTO - SONGA
NIKIRI wazi kuwa miongoni mwa "madundo" ya maana kabisa aliyoyasuka DUKE ambayo sikuyataja kwenye orodha yangu, basi hili limo pia.
Turudi kwenye ngoma hii,
"SEBULE DISKO, JIRUSHE KWENYE MAKOCHI" 00;44
"TENA BEKI TATU ALIVYO MNOKO
UKIFANYA SOO, YE NDO ANAKUSAKA KILA CHOCHO" 00;52
Hizi ni nukuu zinazoonesha Songa alikuwa na UTOTO wa kishua enzi zake. Hakuna majamvi wala mikeka kwao, full kubebishwa miksa mpaka kuajiri mfanyakazi wa ndani (dada wa kazi)
Hizi zipo kwenye vesi ya kwanza
Lakini anapoifungua na kuifunga vesi ya pili anaonesha kuwa alikuwa na ule UTOTO ambao wengi wetu tumeupitia uswahilini.
"MTOTO WA USWAZI SIIJUI MIDOLI WALA TOY/ KILA SIKU INAISHA NAMBONJI NIKIWA HOI"
Hapa sijagusia ununda wa kutotaka kuoga, kusubiria kwa hamu ndondo na wali na kupiga chenga kuoga.
Nikirudi hapo kwenye kutoijua MIDOLI wala toy wakati kwao "mambo mazuri" full muvi za Jet Lee au Jackie Chan, kuna kitu sielewi!
Kwamba walikuwa na TV ndani lakini hakununuliwa MIDOLI? Pesa ya kununua TV na makochi na kumlipa beki tatu ilikuwepo ila pesa ya kununulia MIDOLI haikuwepo?
Kwa aliyeusikiliza vizuri huu wimbo zaidi ya mara moja anisaidie!!
AMANI SANA.
LUAH.