Na consider nyumba. Usafiri upo all the time.. ila nyumba ni heshima sana. Kwanza inakupa kujiamini, unakuja muda unaotaka ..unatoka muda unaotaka na hakuna wa kukuuliza.bora gari kuliko mjengo; hata ukikosa hela ya kodi,utalala kwenye mgari wako
Aje aombe radhi nifute comments zotemsamehe mkuu πππ
hope atafanya hivyo ππAje aombe radhi nifute comments zote