TUCTA genge la wanyag'anyi lisilo na msaada kwa watumishi wa wafanyakazi. Linatakiwa kupungwa na kufumuliwa upya.

TUCTA genge la wanyag'anyi lisilo na msaada kwa watumishi wa wafanyakazi. Linatakiwa kupungwa na kufumuliwa upya.

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Hili shirikisho la vyama vya wafanyakazi hapa nchini Tanzania ni wala michango ya wafanyakazi pasipokuwa na msaada wowote kwa wafanyakazi, kwa ujumla ni wanyag'anyi wasio na msaada kwa wafanyakazi.


Kwa zaidi ya miaka sita wafanyakaz wanapigwa sound na viongizi wa nchi huku hali na ughali wa maisha ukipanda kila siku. Lakini Tucta hakuna mbinyo wowote ambao walishauweka ili mishahara na hali za maisha kwa wafanyakazi ziweze kuwa bora.

Kiongozi wa Tanzania aliyekuwepo alikiri mara nyingi kuwa yeye hataki kuongeza kiduchu bali anataka aje aongeze mzigo mnene. Na alisiitiza kuwa ili aje aongeze mzigo mnene basi inabidi amalize kwanza kazi za ujenzi wa miundo mbinu na megastructures alizokuwa anajenga.

Ameingia huyu mama japokuwa kwa bahati mbaya baada ya aliyekuwepo kufariki anakuja na swaga eti mpaka akae na kupiga mahesabu kuwa anahitaji kuongeza kiasi gani. Hii ni sound inayoingia kichwani? Ni wazi anakiri pesa anazo ila hajapiga mahesabu aongeze ngapi.

Tucta bila aibu ya kula michango ya wafanyakazi wao wanachukulia poa. Huku mchongo mzima kuwa mishahara haitaongezwa wakiwa wanaijua.

Wafanyakazi kwa usanii huu wa Tucta kuwa wanakubali na kushirikiana na serikali kupiga sound wafanyakazi wanatakiwa wapingwe na viongozi wote wafurushwe.
 
Hili shirikisho la vyama vya wafanyakazi hapa nchini Tanzania ni wala michango ya wafanyakazi pasipokuwa na msaada wowote kwa wafanyakazi, kwa ujumla ni wanyag'anyi wasio na msaada kwa wafanyakazi.


Kwa zaidi ya miaka sita wafanyakaz wanapigwa sound na viongizi wa nchi huku hali na ughali wa maisha ukipanda kila siku. Lakini Tucta hakuna mbinyo wowote ambao walishauweka ili mishahara na hali za maisha kwa wafanyakazi ziweze kuwa bora.

Kiongozi wa Tanzania aliyekuwepo alikiri mara nyingi kuwa yeye hataki kuongeza kiduchu bali anataka aje aongeze mzigo mnene. Na alisiitiza kuwa ili aje aongeze mzigo mnene basi inabidi amalize kwanza kazi za ujenzi wa miundo mbinu na megastructures alizokuwa anajenga.

Ameingia huyu mama japokuwa kwa bahati mbaya baada ya aliyekuwepo kufariki anakuja na swaga eti mpaka akae na kupiga mahesabu kuwa anahitaji kuongeza kiasi gani. Hii ni sound inayoingia kichwani? Ni wazi anakiri pesa anazo ila hajapiga mahesabu aongeze ngapi.

Tucta bila aibu ya kula michango ya wafanyakazi wao wanachukulia poa. Huku mchongo mzima kuwa mishahara haitaongezwa wakiwa wanaijua.

Wafanyakazi kwa usanii huu wa Tucta kuwa wanakubali na kushirikiana na serikali kupiga sound wafanyakazi wanatakiwa wapingwe na viongozi wote wafurushwe.
Well said my friend!!!!

Hata Waziri wa Kazi na Ajira Mh. Jenista Mhagama ni bure kabisa yule mama, na sijui elimu yake ikoje!!!!
 
Sio Tukta pekee ni mavyama yote ya wafanyakazi ni ya kihuni tu hayana maana yeyote
 
Mama asihukumiwe, it is Too early to pass judgement Hata siku mia moja za mwanzo za uongozi pale ikulu hajazimaliza leo mnataka aidhinishe sum of Billions kwaajili ya kuongeza mishahara, Hii inaweza kuleta madhara makubwa kuliko faida kiuchumi. Napendekeza apewe muda at least mwaka mmoja ndipo tujudge
 
Diploma then akawa mwl hapa songea girls akadaka fursa siasani nadhan alidunduliza elimu yakekwa taaabu hapo chuo kikuu huria

Ukiwa mwanasiasa maarufu chuo kikuu huria digiriii unachota tuuu

N mwana siasa gan alidisco hapo open University ? Haijawah tokea
Aaaaaaaaaaa!!!!!!.....Jenista Mhagama ka-prove failure sana kwenye hii Wizara ya kazi. Badala ya kuwatetea wafanyakazi kazi yake ilikuwa ni kujipendekeza tuu kwa JPM.

Hata anachoongea Jenista Mhagama hua haelewekagi kazi kazi kuonyesha tu meno yake aliyoyachonga.

Honestly, Jenista Mhagama ni bure kabisa kwenye hii wizara amekuwa kama vile ni kuwadi wa Serikali kwa kuwakandamiza wafanyakazi. How comes, umekuwa Waziri for 6 years consecutively na hakuna mwaka hata mmoja wafanyakazi wameongezwa mshahara na wala hauoni hata aibu halafu eti unajiita ni Waziri wa Kazi na Ajira!!!.....hopeless kabisa.
 
Mama asihukumiwe, it is Too early to pass judgement Hata siku mia moja za mwanzo za uongozi pale ikulu hajazimaliza leo mnataka aidhinishe sum of Billions kwaajili ya kuongeza mishahara, Hii inaweza kuleta madhara makubwa kuliko faida kiuchumi. Napendekeza apewe muda at least mwaka mmoja ndipo tujudge
Acha uduanzi, ikulu ni taasisi inayoongoza serikali. Kwani hizo billions anapiga hesabu kwa mkono wake?
 
Hili shirikisho la vyama vya wafanyakazi hapa nchini Tanzania ni wala michango ya wafanyakazi pasipokuwa na msaada wowote kwa wafanyakazi, kwa ujumla ni wanyag'anyi wasio na msaada kwa wafanyakazi.


Kwa zaidi ya miaka sita wafanyakaz wanapigwa sound na viongizi wa nchi huku hali na ughali wa maisha ukipanda kila siku. Lakini Tucta hakuna mbinyo wowote ambao walishauweka ili mishahara na hali za maisha kwa wafanyakazi ziweze kuwa bora.

Kiongozi wa Tanzania aliyekuwepo alikiri mara nyingi kuwa yeye hataki kuongeza kiduchu bali anataka aje aongeze mzigo mnene. Na alisiitiza kuwa ili aje aongeze mzigo mnene basi inabidi amalize kwanza kazi za ujenzi wa miundo mbinu na megastructures alizokuwa anajenga.

Ameingia huyu mama japokuwa kwa bahati mbaya baada ya aliyekuwepo kufariki anakuja na swaga eti mpaka akae na kupiga mahesabu kuwa anahitaji kuongeza kiasi gani. Hii ni sound inayoingia kichwani? Ni wazi anakiri pesa anazo ila hajapiga mahesabu aongeze ngapi.

Tucta bila aibu ya kula michango ya wafanyakazi wao wanachukulia poa. Huku mchongo mzima kuwa mishahara haitaongezwa wakiwa wanaijua.

Wafanyakazi kwa usanii huu wa Tucta kuwa wanakubali na kushirikiana na serikali kupiga sound wafanyakazi wanatakiwa wapingwe na viongozi wote wafurushwe.
Tucta Kama ni shirikisho la vyama vya wafanyakazi ambavyo vipo kibao so Hapa swala ni moja ni kila mfanyakazi kujiondoa kwenye chama chake kiundacho tucta, haya mavyama yapo kiwizi, havina msahada, leo kwenye jamii zetu vipo vikundi, vyama vya kijamii ambavyo mfanyakazi yoyote akijiunga faida zake ni kubwa Kuliko hivi vyama, piga chini ukipata msala kazini mawakili wapo wa kujitegemea watakusaidia why ukumbatie vyama ambavyo unachangia Lila mwezi na value yake kwako hamna
 
Kwani viongozi wa juu wa Tucta ni kina nani majina yao?

Mwenyekiti, Katibu Mkuu , mwekahazina n.k ni kina nani majina yao?

Hawa viongozi huwa wanapatikanaje?
 
Hili shirikisho la vyama vya wafanyakazi hapa nchini Tanzania ni wala michango ya wafanyakazi pasipokuwa na msaada wowote kwa wafanyakazi, kwa ujumla ni wanyag'anyi wasio na msaada kwa wafanyakazi.


Kwa zaidi ya miaka sita wafanyakaz wanapigwa sound na viongizi wa nchi huku hali na ughali wa maisha ukipanda kila siku. Lakini Tucta hakuna mbinyo wowote ambao walishauweka ili mishahara na hali za maisha kwa wafanyakazi ziweze kuwa bora.

Kiongozi wa Tanzania aliyekuwepo alikiri mara nyingi kuwa yeye hataki kuongeza kiduchu bali anataka aje aongeze mzigo mnene. Na alisiitiza kuwa ili aje aongeze mzigo mnene basi inabidi amalize kwanza kazi za ujenzi wa miundo mbinu na megastructures alizokuwa anajenga.

Ameingia huyu mama japokuwa kwa bahati mbaya baada ya aliyekuwepo kufariki anakuja na swaga eti mpaka akae na kupiga mahesabu kuwa anahitaji kuongeza kiasi gani. Hii ni sound inayoingia kichwani? Ni wazi anakiri pesa anazo ila hajapiga mahesabu aongeze ngapi.

Tucta bila aibu ya kula michango ya wafanyakazi wao wanachukulia poa. Huku mchongo mzima kuwa mishahara haitaongezwa wakiwa wanaijua.

Wafanyakazi kwa usanii huu wa Tucta kuwa wanakubali na kushirikiana na serikali kupiga sound wafanyakazi wanatakiwa wapingwe na viongozi wote wafurushwe.
Nimesikia ikinenwa kuwa asiyetaka kufanya kazi basi asile sawa? Na je anayefanya kazi au kupata kazi kwa nguvu za Giza huyo acheuwe kama alivyocheua king Kong kubwa la maadui kabla mwaka huu kuisha ili kuweka mzani sawa na ukichukulia huu mwezi ni wa haki duaa ita swihi Mungu ni Mungu wa haki amwonei mja wake au vipi naona wajukuu wa wachawi wanakunja ndita kwani nasema uwongo wajameni
 
Poleni wafanyakazi ambao mshahara ni chanzo chenu kikuu na cha uhakika kwa maisha ya kila siku ndo maana bado mnapunjwa na kazi hamuachi! nisema mafanikio ambayo mmeyapata katika hali ngumu hii ya tawala zilizopo.
  1. maisha yalikuwa magumu sana kiasi tukaondoka katika matumizi yasiyo ya lazima ikiwa ni pamoja na kupunguza vidosho na kinywaji kwa kiasi fulani.
  2. wengi mliweza kufanya maajabu yale magofu (au mapagale ) amabyo yalikuwa hayawezi kwisha na kuhamiwa ili finishing ifanyike kwanza yaliweza kuhamiwa na kwa sasa mengi finishing imekamilika na wengi mna nyumba kamili hili kubwa zaidi.
  3. tumeelewa kuwa hatuhitaji kupeleka mtoto shule za private level ya sekondari watasoma msingi shule za kizungu kisha form one wataenda shule ya kata na hii imeleta mafanikio mazuri kwani wameweza kwenda kidato cha nne vizuri.
  4. tumepunguza matumizi ikiwa ni pamoja na kuwashirikisha wanafamilia katika kuongeza kipato katika hatua hii familia nyingi zimeanzisha bustani ili kupunguza kununua mboga za majani
  5. tumeyakumbuka mashamba yetu na tumekuwa na ushirikiano mzuri na wakulima ikiwa ni kuwakopesha fedha na wao kutupa mpunga na kuongeza uhakika wa chakula.
  6. tumepunguza magonjwa yasiyoambukiza yanayotokana na kula ovyo na kunywa hovyo kwa kuwa bajeti sio rafiki hii ni pamoja kwa kiasi fulani kupungua kwa maambukizi ya UKIMWI hasa kwa wanaume wakifikiria Ada za shule kichwa cha chini hakihitaji
hivyo tunahitaji kujua kuwa vyazo vya mapato ni pamoja na mshahara hivyo tunahitaji kujipanga kwa mafanikio yetu tusiitegemee serikali bali tujue serikali inatutegemea sisi na hasirani wanatamani msiwepo kwa kuwa mnaongeza gharama za uendeshaji wa serikali na kuwa mzigo vumilieni atakayefumilia mpaka mwisho tutampa penseni tutakayo mkata pamoja na kodi kwa ujenzi wa taifa.
Nawasalimu wa jina la Muungano- kazi inaendelea
hongera sana wafanyakazi wa Tanzania tunathamini kazi yenu muwe wavumilivu ni kawaida kabisa Ng'ombe anaechelewesha safari ni wambele lakini anayepigwa ni ngombe wa nyuma vumilieni tunawaheshimu sana na kuwajali lakini kwa bahati mbaya hatuna cha kuwalipa.
 
Hili shirikisho la vyama vya wafanyakazi hapa nchini Tanzania ni wala michango ya wafanyakazi pasipokuwa na msaada wowote kwa wafanyakazi, kwa ujumla ni wanyag'anyi wasio na msaada kwa wafanyakazi.


Kwa zaidi ya miaka sita wafanyakaz wanapigwa sound na viongizi wa nchi huku hali na ughali wa maisha ukipanda kila siku. Lakini Tucta hakuna mbinyo wowote ambao walishauweka ili mishahara na hali za maisha kwa wafanyakazi ziweze kuwa bora.

Kiongozi wa Tanzania aliyekuwepo alikiri mara nyingi kuwa yeye hataki kuongeza kiduchu bali anataka aje aongeze mzigo mnene. Na alisiitiza kuwa ili aje aongeze mzigo mnene basi inabidi amalize kwanza kazi za ujenzi wa miundo mbinu na megastructures alizokuwa anajenga.

Ameingia huyu mama japokuwa kwa bahati mbaya baada ya aliyekuwepo kufariki anakuja na swaga eti mpaka akae na kupiga mahesabu kuwa anahitaji kuongeza kiasi gani. Hii ni sound inayoingia kichwani? Ni wazi anakiri pesa anazo ila hajapiga mahesabu aongeze ngapi.

Tucta bila aibu ya kula michango ya wafanyakazi wao wanachukulia poa. Huku mchongo mzima kuwa mishahara haitaongezwa wakiwa wanaijua.

Wafanyakazi kwa usanii huu wa Tucta kuwa wanakubali na kushirikiana na serikali kupiga sound wafanyakazi wanatakiwa wapingwe na viongozi wote wafurushwe.
U r right 👊
 
Hakuna vyama vya wafanyakazi vilivyowahi kuwa na manufaa kwa wafanyakazi Tz. Hakuna. Na hii sio kwa bahati mbaya. Muundo wa vyama vya wafanyakazi hauruhusu kuwa independent, vinaingiliwa sana.
 
Kiongozi wa Tanzania aliyekuwepo alikiri mara nyingi kuwa yeye hataki kuongeza kiduchu bali anataka aje aongeze mzigo mnene. Na alisiitiza kuwa ili aje aongeze mzigo mnene basi inabidi amalize kwanza kazi za ujenzi wa miundo mbinu na megastructures alizokuwa anajenga.
Kuongeza mishahara na kupanda madaraja ni hitaji la kikatiba sio matamanio ya mtu. vipi kuhusu waliostaafu kati ya 2016 mpaka huo mzigo mnene utakapotoka? nao wataitwa wapewe chao? Eti mzigo mnene! umeandika utopolo.
 
Kuongeza mishahara na kupanda madaraja ni hitaji la kikatiba sio matamanio ya mtu. vipi kuhusu waliostaafu kati ya 2016 mpaka huo mzigo mnene utakapotoka? nao wataitwa wapewe chao? Eti mzigo mnene! umeandika utopolo.
Wajinga ndivyo mlivyo.
 
Back
Top Bottom