TUCTA: Kuongea mshahara elfu 8 ni dhihaka

TUCTA: Kuongea mshahara elfu 8 ni dhihaka

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001

TUCTA kama wapo serious hivi. Wakishindwa kuongeza tunaandamana.
---

Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta) limeeleza kutoridhishwa na nyongeza ya mshahara huku wakieleza tofauti kubwa ya nyongeza baina ya daraja la juu walioongezewa kwa asilimia 0.6 na wale wa daraja la chini walioongezewa kwa asilimia 23.

Tucta wamedai pia kuna baadhi ya taasisi hawajaongezewa mishahara yao ikiwemo watumishi wa TTCL, ATCL, TRC na wengine wakiwemo wale wenye kima binafsi cha mishahara.

Hayo yameelezwa na Rais wa Tucta, Tumaini Nyamhokya leo jumatano Julai 27, 2022 akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma.
 
TUCTA kama wapo serious hivi. Wakishindwa kuongeza tunaandamana
Wanaishi umagufuli halafu wanamtukana, kauli yangu vice president sio sehemu ya serikali? Bila Magufuli Samia angekuwa hapo? Timizeni Kwa watanzania ubnafsi si vema, kawaongezea mshahara wanajeshi tu labda na majeshi mengine, ni aibu sana sana
 
Pole ya nini, naambao hatunakazi tunafanya mishe zetu namambo yanaenda!!!.

Achakuwatia ujinga,mapori yamejaa kibao morogorotu hapo.

Waache kazi wakalime wengine watakuja kufanya.
Acha uzwazwa una mapori ya kurithi unataka na wenzio wakavamie mapori tengefu

Sekta binafsi wameisahau na ndiyo iliyoajiri watanzania wengi.
 
Acha uzwazwa una mapori ya kurithi unataka na wenzio wakavamie mapori tengefu

Sekta binafsi wameisahau na ndiyo iliyoajiri watanzania wengi.
Basi endeleeni na ujinga huo wakuombaomba nyongeza kila mwaka.
Unaomba nyongeza, ukipewa kilo ya unga inapanda bei sasandio umefanya nini.

Ukiajiriwa kubali wewe ni mtumwa unaesubiri kufa kwa stress ukistaafu.
Fungua bicha hilo uone various opportunities nje ya boksi mshahara haujawahi kutosha.
 
Mmekikabidhi chama kwa watu wa CCM na "System" halafu mnataka kiwapiganie!! Yaani hapo chapeni kazi mengine vumilieni.
 
Mbona kubwa mlitakiwa kupata buku buku ya wali kwa mama lishe maana ilo wazi nyie vibarua wa serikali ni myopic
 
Wanaishi umagufuli halafu wanamtukana, kauli yangu vice president sio sehemu ya serikali? Bila Magufuli Samia angekuwa hapo? Timizeni Kwa watanzania ubnafsi si vema, kawaongezea mshahara wanajeshi tu labda na majeshi mengine, ni aibu sana sana
Ni kweli JWTZ peke yao ndiyo wameongezewa mishahara pasipo longolongo ..sa100 ni kiongozi wa genge la wahuni huo ndiyo ukweli kamili....mimi nilisema uchumi umeporomoka kwa asilimia 60% toka sa100 kuchukua nchi watu wanabisha kwa kudanganywa na wahuni wa chama na serikali kuwa makusanyo ya mapato ya mwezi kwa mwezi yanaongezeka kuliko kipindi cha JPM ...wakati kwa sasa serikali inategemea mikopo hadi kulipa mishahara . Tukifika 2024 uchumi utakuwa umekufa kabisa tayari mama kakopa zaidi ya marais wote hapa tz
 
Back
Top Bottom