Elections 2010 TUCTA yajibu kauli ya JK

Kwani kugoma ni suluhu? Mtoto wako akisusa kula chakula kwa sababu aliomba umnunulie nguo mpya na wewe hukuwa na fedha na ukamwambiaa, nikipata nitakununulia utafanya nini? Au akuta mama nyumbani amepika ugali na dagaa, Yeye akasema mimi nataka kula pilau kuku wakati kwa wakati huo wewe huwezi kufanya hivyo utafanyaje/
 

Mgaya sasa haya ndo maneno! Mbayuwayu ameishiwa ya kusema, sasa anabwabwaja tu.
Huu ni ujumbe tosha.

Dr. Slaa nashauri sasa sentenso hii ukiichukua vizuri waweza kuwa nyambulishia wenzangu wa namanyere wamuelewe katibu wao. Go Slaa.
 
Akili mukichwa ndugu Wafanyakazi, pumba na mchele mnaona, sasa chagueni. Mkitaka kuendea kutishwa na kutukanwa basi fanyeni yale ya siku zote.
 
Mgaya alikuwa anatikisa kibiriti.Amekuta kimejaa.na hivyo ndivyo watanzania tunahitaji kiongozi asiyeyumbishwa hovyo kwa kisingizio cha kura.kwa taarifa yako wafanyakazi wanamkubali bwana mkubwa.kwani wana imani nae wana uhakika anawajali na anawafikiria kila mwaka.yana mwisho hayo.
 
Mgaya umenifurahisha sana. ULISHASEMA mtu hataki pilau letu tumpe anaetaka!!! Si akili za kuambiwa tukichanganya na za kwetu tunawapata CHADEMA?

Actually, huyu Mgaya anaonekana ana akili sana kuliko hata Rais. Majibu aliyotoa yanamfanya rais aonekane ni bomu tuu!!! Ngoja tuone next time atasema nini. Kama zinacharge upstairs inabidi aachane na swala la wafanya kazi na mishahara maana waTZ tu wasahaulifu hivyo kulizungumzia hili swala anatukumbusha.
 
Wewe acha kuwadhalilisha wafanyakazi. Hawana akili za kimbayuwayu kiasi hicho. Kwanza wewe ni msemaji wao? Mgaya ndiye waliyemchagua kuwa msemaji wao naye hajatamka hayo,wewe umeyatoa wapi? Kama unamsemea mtumishi wako wa ndani basi weka wazi sio kuwasemea ambao hawajakutuma. Kwetu huo unaitwa Ushambenga.
 
. Kwanza wewe ni msemaji wao? Mgaya ndiye waliyemchagua kuwa msemaji wao naye hajatamka hayo.[/B][/I]

Nilikua najua Mgaya ni NAIBU KATIBU WA TUCTA kumbe ni MSEMAJI wa TUCTA
nashkuru kwa taarifa
 
Ni kiberiti cha nani kimejaa cha Mgaya au cha rais, Mgaya hana polisi hana bodyguard hana jukwaa la siasa kajikalia nyumbani anaangalia zake TV, Kikwete ana kila kitu ndiye anayepiga kelele majukwaani nani mshindi hapo, in whatever the case Mgaya has nothing to lose.
 
Nilikua najua Mgaya ni NAIBU KATIBU WA TUCTA kumbe ni MSEMAJI wa TUCTA
nashkuru kwa taarifa
Yeye ni kiongozi mkuu wa TUCTA lazima atakachosema ni TUCTA imesema, ni sawa na M/kiti, katibu wa chama ingawa kuna msemaji wa chama lakini kitu chochote cha chama kikitamkwa na katibu say Makamba huwezi kukitofautisha na tamko la chama.
 
Hivi kwa nini takukuru wasimhoji JK kwa kuongeza mishahara kimya kimya wakati huu wa kampeni, na je NEC hawaoni JK anacheza rafu kwa kutoa rushwa wazi wazi?
Au kwa vile anaanguka ndio wanamwonea huruma?
 

Wewe ni nani unatusemea wafanyakazi? Msemaji wetu ni Mgaya,subiri Oct 31.
 

Wafanyakazi wa wa wapi ndugu yetu? au wa IKULU? wa BOT? au wa pale LUMUMBA?
 
Heri wajikalie kimya maana vinginevyo, watakwenda mezani wakiwa na Plaster kichwani.

Hivi hili la Plaster na lenyewe kasingiziwa?

mamaaa weeeeeee.nimecheka vibaya sana..Khaaa watu mnakumbukumbu vibaya sana...mi mpaka namuonea huruma JK mweeee...
 

hivi mnakuwa mnalewa komoni au ni kitu gani hasa..Sasa wewe ndo unaongea nini hapa!! Kiongozi shupavu yupi ,huyu anayeweweseka na kuanguka au!!mi nilitamani aanguke atoke meno awe na mapengo kwa mbele ili aache kuchekacheka
 
hehehe alipoanguka na kuamka keshasahau kuwa alizungumza na wazee wa dar laiti babaangu angekuwa kahudhuria ulimkutano waa wazee akitoka hapo ningemuambia asinitegemee tena
 
Jamani tumsamehe JK kwa kauli zake za sasa, kwani toka aanguke jukwaani hajaenda nje kutibiwa. TUCTA*hapo mko sawa msijibizane na Jk. Hayo anayoongea ya kuwapiga vijembe anasahau yupo kwenye kuwaomba mumuajiri. Wafanyakazi mna akili sidhani kama mtamwajiri mtu juu yenu kichwa ngumu. Akili za Jk, changanyeni na zenu!
 

aiseeeeee... halafu ukizinduka ...changanya na za kwako...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…