kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,318
- 4,105
Ongeza Zigo kwenye hyo list ya Nahreel halafu ndo uchambuzi uendelee.
Salima - LinexMwambie na kwa tudy aongeze ipi, si unaona ziko 8 kila upande
hawa ni producers wa mziki waliofanikiwa kutengeneza hit single kitaifa na kimataifa
TUDDY THOMAS
1.Number one remix-diamond ft Davido
2.Ndagushima-Ommy dimpoz
3.Make me sing-Diamond ft AKA
4.Na yule-Ruby
5.prokoto-victoria kimini
6.mdogo mdogo-Diamond
7.Bum bum-Diamond
8.utanipenda-Diamond
NAHREEL
1.Gere-Weusi
2.Niroge-Vannesa
3.Nusu nusu-Joh makini
4.Don't bother-Joh makini
5.Hamjui-Vannesa
6.Original-Gnako
7.Game-Navy kenzo
8.Kamatia-Navy kenzo
Nana-Diamond platnumz
waliitengeneza wote
Nani producer mkali kati yao??
hamna producer hapo labda ungeuuliza yupi na beat maker mzuri kuliko mwenzakehawa ni producers wa mziki waliofanikiwa kutengeneza hit single kitaifa na kimataifa
TUDDY THOMAS
1.Number one remix-diamond ft Davido
2.Ndagushima-Ommy dimpoz
3.Make me sing-Diamond ft AKA
4.Na yule-Ruby
5.prokoto-victoria kimini
6.mdogo mdogo-Diamond
7.Bum bum-Diamond
8.utanipenda-Diamond
NAHREEL
1.Gere-Weusi
2.Niroge-Vannesa
3.Nusu nusu-Joh makini
4.Don't bother-Joh makini
5.Hamjui-Vannesa
6.Original-Gnako
7.Game-Navy kenzo
8.Kamatia-Navy kenzo
Nana-Diamond platnumz
waliitengeneza wote
Nani producer mkali kati yao??
tofauti ya music producer na beat maker ni ninihamna producer hapo labda ungeuuliza yupi na beat maker mzuri kuliko mwenzake
Kaamua Tu awe tofauti! Ni sawa Kuna tofauti ndogo but Thuddy Na Nahreer wote Ni Producers!tofauti ya music producer na beat maker ni nini
Zilichukua tuzo kwa sababu zote alimtengenezea msanii mkali.. mondi..Ukifuata kanuni za kujaji muziki basi TODDY yupo juu,kwasababu nyimbo zake zote alizozifanyia kazi yeye zili hit na kushika nafasi za juu na mituzo kibao labda tuwasubiri watakao piga kura kiushabiki na si kwa ubora wa kazi.