Tudd Thomas vs Nahreel

mkuu ushasahu kuwa Tuddy ndio alifanya wimbo wa Marlaw Bembeleza,Beep beep na nyingine kibao za Barnaba na wenzie wa T.H.T miaka hiyo
Nyingine za tudd

Riziwan ya Izo b

Daima milele Barnaba

Kizunguzungu Rachel

Leka Dutigite

Nyimbo za Linah

Me and U Ommy Dimpoz

Uswazi take away chege

Ndagushima Ommy Dimpoz

Etc etc etc
 
mkuu ushasahu kuwa Tuddy ndio alifanya wimbo wa Marlaw Bembeleza,Beep beep na nyingine kibao za Barnaba na wenzie wa T.H.T miaka hiyo
Waache watoto hao... wanamjua Kiba na Di tu.
 
Kiufupi kila mmoja yupo vizuri kwenye angle yake
 
Nah real kwasasa yupo juu, ushauri wangu Alikiba akapige ngoma moja Kwa Nahreal itahiti balaa
 
Producer wa WCB Vs Producer wa WEUSI ..... haha natania tu.
umeongea point sana, nyimbo ni nyingi ila wasanii ni walewale, ubora wa nyimbo zao (audio) ndio umewapeleka kimataifa au ni ubora wa video?
Lakini Producer bora ni yule anefanya nyimbo nyingi (hits na zisizo hits) kwa wasanii mbalimbali wanaozidiana uwezo wa kujitangaza...hapo unaweza pata producer mzuri kikweli
 
Mkuu acha kuishi kwa historia mkuu, toa majibu kwa swali lililoulizwa.

Siyo historia meku, ukisikiliza hizo midundo yenu ya sasa halafu tafuta ngoma za zamani za bongo record fananisha na hizi takataka zenu, Nipe 5, Nikusaidieje, Gheto langu, she got gwan we acha tu!
 
nah reel anagonga beat nzuri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…