Ema Jackson
Member
- Apr 6, 2024
- 16
- 18
Mbona me nmeshahama??huo mfumo unazingua Mimi nilichofanya ni kuita fuso nikapakiza mizigo yangu.Naomba tujuzane kuhusu UHAMISHO status ina soma kama ambavyo mishale inavyoonyesha ni miezi saba sasa mwenye ufafanuzi juu ya hili.
Vipi pia kuhusu wewe uliyeomba transfer status yako ikoje kwenye mfumo huu, au kama kuna mtu amefanikiwa kuhama kupitia mfumo atupe uzoefu kidogo juu ya status hizi.
View attachment 2961611
Unataka kumponzaMbona me nmeshahama??huo mfumo unazingua Mimi nilichofanya ni kuita fuso nikapakiza mizigo yangu.
Safari ikaanza toka chanika Hadi mbagala.
Tumia njia yangu utahama kirahisi sana!!!
Asante kwa ushauri wako, "mental health"Mbona me nmeshahama??huo mfumo unazingua Mimi nilichofanya ni kuita fuso nikapakiza mizigo yangu.
Safari ikaanza toka chanika Hadi mbagala.
Tumia njia yangu utahama kirahisi sana!!!
Kweli kabisa!Uhamisho umekuwa changamoto sana
Tunaonewa sanaKweli kabisa!
Uangalie kama wamekutumia transfer permit letter maana hapo ni kama tayari usharuhusiwa na je status yako ishawahi kusoma utumishi or Tamisemi?Mimi status inasoma ALLOWED sijui kinachofuata hapo maana kabla ya hapo ilisoma ACOUNTING OFFICER
nyie huku mmefikaje!! Mbona sis wengne bado kwa supervisorMimi status inasoma ALLOWED sijui kinachofuata hapo maana kabla ya hapo ilisoma ACOUNTING OFFICER
Apo inatakiwa ufoward utumishi.!Mimi status inasoma ALLOWED sijui kinachofuata hapo maana kabla ya hapo ilisoma ACOUNTING OFFICER
Kwa nn unataka kuhama?Uhamisho umekuwa changamoto sana
Apo wapigie cm utumishNaomba tujuzane kuhusu UHAMISHO status ina soma kama ambavyo mishale inavyoonyesha ni miezi saba sasa mwenye ufafanuzi juu ya hili.
Vipi pia kuhusu wewe uliyeomba transfer status yako ikoje kwenye mfumo huu, au kama kuna mtu amefanikiwa kuhama kupitia mfumo atupe uzoefu kidogo juu ya status hizi.
View attachment 2961611
Umejaribu kuwapigia sim???Naomba tujuzane kuhusu UHAMISHO status ina soma kama ambavyo mishale inavyoonyesha ni miezi saba sasa mwenye ufafanuzi juu ya hili.
Vipi pia kuhusu wewe uliyeomba transfer status yako ikoje kwenye mfumo huu, au kama kuna mtu amefanikiwa kuhama kupitia mfumo atupe uzoefu kidogo juu ya status hizi.
View attachment 2961611
Hata Mimi status imeandika hi yohivyo baada ya kutoka kwa accounting officerMimi status inasoma ALLOWED sijui kinachofuata hapo maana kabla ya hapo ilisoma ACOUNTING OFFICER