golwebo_mkuu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 2,270
- 693
Just be yourself lizzy you'll be ok but don't forget to be
juicy, tasty, softy, smiley and icy not only that but also
be smart, gorgeous, pleasing, stunning, erogenous,
stimulating, hot, exquisite, stylish, sensual, spicy,
attractive, hot, amatory and erotic.
Well, I hope this is pg13 so I'll stop here.
Just be yourself lizzy you'll be ok but don't forget to be
juicy, tasty, softy, smiley and icy not only that but also
be smart, gorgeous, pleasing, stunning, erogenous,
stimulating, hot, exquisite, stylish, sensual, spicy,
attractive, hot, amatory and erotic.
Well, I hope this is pg13 so I'll stop here.
Ahsante mangala umesema vizuri sanahata kama maziwa ni saa sita ni vizuri kuvaa bra sbb ukivaa blauzi tupu unajihisi kama uko uchi sbb ncha za chuchu zitatokeza sana,
vile vile kwa maziwa yaliyoanguka ukivaa nguo bila bra haitakaa vizuri,
mmama aliyezaa akivaa spanx anapendeza zaid maana inamsaidia kubana tumbo,na anapendeza zaid ya yule aliyeachia tumbo lininginie.
najua ntaonekana wa ajabu lkn kusema ukweli kutoka natural au real kwa 100% haiwezekani,sijasema mtu upake mkorogo au uvae makalio bandia ili upendeze.
mim nadhan sisi wanawake hatuna haja yakuwauliza wanaume watupe ruhusa yakuvaa bra au tusivae bra.
mim ninachojua wanaume mara nyingi huvutiwa na muonekano kwanza,then kama ni mwenye lengo la uhusiano wa muda mrefu ataangalia tabia zako,kama ameridhika na tabia zako hata akienda kukuta kuwa alidhani ni saa sita lkn ni saa 10 hatajali sana sbb si kila siku wanasema uzuri wa mwanamke ni tabia si sura.
lkn trust me ukitembea bila bra miziwa ininginie huku mtumbo umetokeza kama mjamzito kisa umeshauriwa uwe real hakuna atakayekutizama mara mbili kujua una tabia nzuri au la.
mwanamke lazima ujikeep fresh hata kama umeolewa na mumeo anajua yalishalala siku nyingi ukitoka bila bra ntakuona hujipendi tu.
na kuvaa bra na spanx sio kwa sbb ya kudanganya wanaume kuwa ww ni kigori ni kwa sbb yakujipendezesha tu.
Mbu hazipendi unakumbuka ile thread yake? mie napenda wale wenye matiti madogo ndio watumie hizi, utakuta bibie ana matiti makubwa sana bado anapush hapa huwa naonaje sijui
Push up bras nazifagilia kwa kuwa bibie (I mean my wife wangu) anaonekana smart kwenye kadamnasi,mambo mengine ya kanda2 etc tunafahamiana huko kwenye faragha zetu.
Push-ups ni mahususi kwa wale ambao yamelegea...madogo au makubwa.Kazi yake ni kuyarudisha kwenye hali ya kuonekana bado yapo yanapoTARAJIWA kuwepo.Hao wanaozidisha matumizi ni makosa tu wanafanya....maana wengine wanayabana mpaka yanatisha alafu anaachia sehemu yote ya mbele wazi.
Lengo ni kuwakodolesha macho...na mnakodoa kweli kweli!
yaaani kama vile toothpick ikimchoma kwa glafla yanapasuka huwa naangalia sana lizzyPush-ups ni mahususi kwa wale ambao yamelegea...madogo au makubwa.Kazi yake ni kuyarudisha kwenye hali ya kuonekana bado yapo yanapoTARAJIWA kuwepo.Hao wanaozidisha matumizi ni makosa tu wanafanya....maana wengine wanayabana mpaka yanatisha alafu anaachia sehemu yote ya mbele wazi.
Sababu huwa sura ndo inanzingua kuna dada tulipokuwa faragha akavua braa jamani maziwa yalifunguka kama zulia yalikuwa yamepigwa jeki ya ukweli!wat wil it cost u gals to remain real