Wananchi tunatoa matrilioni na matrilioni kama kodi lakini hatujaelezwa kodi zetu zinafanya kazi gani. Asilimia 99 kama siyo 100 ya miradi inayotekelezwa katika nchi hii inatekelezwa na fedha za mikopo au misaada.
Miradi kama SGR, Bwawa la Mwalimu Nyerere, Miradi ya Maji, Barabara, Elimu yaani ujenzi wa madarasa,nyumba za walimu mpaka vyoo, Afya, Barabara za mwendo kasi, mabwawa, ujenzi wa meli, Bandari na mengine mengi yote haya yanatekelezwa na fedha za mikopo.
Leo Waziri atoke hadharani na kuwaambia wananchi kuwa fedha zenu zinazotokana na kodi zenu matumizi yake ni haya.
Fedha nyingi zinazotokana na kodi zetu zinaelekezwa kwenye matumizi ya kawaida(Reccurent) na matumizi haya ndo yanaleta mwanya wa wizi wa fedha za Serikali.
Tuachane na mikopo, mikopo tujisimamie wenyewe.
Miradi kama SGR, Bwawa la Mwalimu Nyerere, Miradi ya Maji, Barabara, Elimu yaani ujenzi wa madarasa,nyumba za walimu mpaka vyoo, Afya, Barabara za mwendo kasi, mabwawa, ujenzi wa meli, Bandari na mengine mengi yote haya yanatekelezwa na fedha za mikopo.
Leo Waziri atoke hadharani na kuwaambia wananchi kuwa fedha zenu zinazotokana na kodi zenu matumizi yake ni haya.
Fedha nyingi zinazotokana na kodi zetu zinaelekezwa kwenye matumizi ya kawaida(Reccurent) na matumizi haya ndo yanaleta mwanya wa wizi wa fedha za Serikali.
Tuachane na mikopo, mikopo tujisimamie wenyewe.