Tuelimishane uzoefu kwenye mahusiano....

Maalim Jumar

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2010
Posts
1,259
Reaction score
118
Habari JF!
Hili hua linaniumiza mawazo yangu....labda kupitia humu naweza faulu kukusanya majibu muafaka.
Wewe me/ke kabla ya kuanzisha au kujua hili tendo raha zake....ni nani aliekufundisha?
Ikawaje hadi sasa?
Tuelimishane!
 
Hii elimu au kupeana tu taarifa? una maanisha nani aliyeanza nae kufanya mapenzi au?
 
heheee! heheeee!
Mambo mengine automatic bana, hamna aliemfundisha mwenzie bali wote tulishutukia tupo kwenye maraha.:A S 103:
 
heheee! heheeee!
Mambo mengine automatic bana, hamna aliemfundisha mwenzie bali wote tulishutukia tupo kwenye maraha.:A S 103:
Aliekuingiza ni nan?
Au ww ndie uliemuingiza mwenzio kwa hizo raha?
 
hua nasikia watu wengi wanasema ....aliwahi kuona wakubwa wakitenda...nae akatafuta kujaribu etc!
..wengine walilazimishwa etc.
..wengine walipelekwa/pelekewa wa ku do ...etc.
Ndio vile nataka kupata maelezo zaidi kwenu hiyo ikoje?
 
hata kama mkiwa isolated porini watoto wawili, wakike na wa kiume, msijue kinachoendelea ulimwenguni...ikifikia balehe tu minyege itawakamata na mtajua kama kuna hasi na chanya.
 
hata kama mkiwa isolated porini watoto wawili, wakike na wa kiume, msijue kinachoendelea ulimwenguni...ikifikia balehe tu minyege itawakamata na mtajua kama kuna hasi na chanya.
Wewe ulianzaje member?
 
Habari JF!
Hili hua linaniumiza mawazo yangu....labda kupitia humu naweza faulu kukusanya majibu muafaka.
Wewe me/ke kabla ya kuanzisha au kujua hili tendo raha zake....ni nani aliekufundisha?
Ikawaje hadi sasa?
Tuelimishane!
Duh! hii kali sana
 
Ningekujibu iwapo ungenambia kitu gani kinafanya nywele zetu zetu zikue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…