Tufahamiane/Tujuane/tutambuane wana JamiiForums

Tufahamiane/Tujuane/tutambuane wana JamiiForums

bryan2

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2016
Posts
3,323
Reaction score
4,679
Je waweza kutambua kazi/sifa za mtu humu Jamii forum kwa jinsi tuu anavyoandika /kuchangia mada mfano: Mwalimu,Nurse,dokta,mwanafunzi,mhandisi,mwanasheria,mrefu,,mkoa anaoishi...nk???

Basi leo tutambuane kwa vigezo ivyo tukianza na mimi mleta mada ukikosea ntajitokeza na kutoa Cv yangu in brief about job place niko naishi...nk

Uko free kucomment kwa mtu yeyote yule.

KARIBUNI.
 
Je waweza kutambua kazi/sifa za mtu humu Jamii forum kwa jinsi tuu anavyoandika /kuchangia mada mfano: Mwalimu,Nurse,dokta,mwanafunzi,mhandisi,mwanasheria,mrefu,,mkoa anaoishi...nk???

Basi leo tutambuane kwa vigezo ivyo tukianza na mimi mleta mada ukikosea ntajitokeza na kutoa Cv yangu in brief about job place niko naishi...nk

Uko free kucomment kwa mtu yeyote yule.

KARIBUNI.
naona wewe umetumwa siyo bure, humu watu wanaishi Kama digidigi, tutambuane ili iweje?
ili uwarahisishie kazi wang'oa meno? 0
kwenda zako huko.
 
Mimi wala hakuna ugumu kuitambua kazi yangu.

Ni mbeba maboksi niliyepanda ngazi hadi kufikia urais.

Mimi ndiye rais wa wabeba maboksi.

USA baby
upload_2016-9-10_15-30-10.png
 
Ungeanza mwenyewe mleta maada,vipi unataka uwatambue wenzio tu,lazma kunakitu unawinda siyo bure.
 
Back
Top Bottom