Mimi sio Mkuu usinikweze nisije nikashushwa Mkuu ni MUNGU pekee Muumba wa Mbingu na Nchi na vyote vilivyomo amini hivyo.Hakuna aliyenituma mkuu
Hahahaaa wee nawe mamtanangeMimi nazuga tu humu japo niko sekta nyeti serikalini
Hahahahhahahanaona wewe umetumwa siyo bure, humu watu wanaishi Kama digidigi, tutambuane ili iweje?
ili uwarahisishie kazi wang'oa meno? 0
kwenda zako huko.
hahahanaona wewe umetumwa siyo bure, humu watu wanaishi Kama digidigi, tutambuane ili iweje?
ili uwarahisishie kazi wang'oa meno? 0
kwenda zako huko.
Sory mkuu hua unatumiga kiroba gani tena!! Cha konyagi au cha jogoo!!Je waweza kutambua kazi/sifa za mtu humu Jamii forum kwa jinsi tuu anavyoandika /kuchangia mada mfano: Mwalimu,Nurse,dokta,mwanafunzi,mhandisi,mwanasheria,mrefu,,mkoa anaoishi...nk???
Basi leo tutambuane kwa vigezo ivyo tukianza na mimi mleta mada ukikosea ntajitokeza na kutoa Cv yangu in brief about job place niko naishi...nk
Uko free kucomment kwa mtu yeyote yule.
KARIBUNI.
[emoji87] [emoji87] [emoji87] ebu weka picha yako eti!!mi nitaaminije!!Mimi ni Afisa Usalama
Mkuu jina lako nimelipenda kule mkoa fulani ni sumu moja mbaya sana ya kupulizia kwenye mikahawa!!!![emoji3] [emoji3] [emoji3]Mimi naitwa kimatira napatikana shy. kazi yangu ni kutembelea Nyumba za waungwana usiku na kumtoa mwanaume nje.
hapo umemaliza kazi,naona wewe umetumwa siyo bure, humu watu wanaishi Kama digidigi, tutambuane ili iweje?
ili uwarahisishie kazi wang'oa meno? 0
kwenda zako huko.