james bendui
JF-Expert Member
- Dec 3, 2015
- 693
- 690
habari wanajamvi naombwa kujuzwa sana juu chanjo gani anazopewa mtoto kuanzia wiki ya kwanza mpka anapofikisha miez 9 na pamoja na ile zana ya kuwa hizi chanjo sio nzuri kwa wototo wetu asante.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
habari wanajamvi naombwa kujuzwa sana juu chanjo gani anazopewa mtoto kuanzia wiki ya kwanza mpka anapofikisha miez 9 na pamoja na ile zana ya kuwa hizi chanjo sio nzuri kwa wototo wetu asante.
Kila chanjo lengo lake ni kumkinga mtoto na ugonjwa unaochanjwa.
Chanjo tanzania