Tufahamishane madhara ya kung'atwa na jino la binadamu

Tufahamishane madhara ya kung'atwa na jino la binadamu

sirluta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2012
Posts
6,325
Reaction score
2,491
Ndugu wataalam wa JF doctor, tunaomba mtupe elimu kidogo au kwa kina juu ya madhara ya kung'atwa na jino la binadamu. Kuna wanaosema jino lina sumu hivyo mtu akikung'ata unaweza kufa.

Je kuna ukweli katika hili?

Vipi kama umeng'atwa ukachoma sindano za tetanus zinasaidia kwa kiasi gani?

Naomba ufafanuzi wakuu.
 
Huyo atakuwa mtuuu au zombi?? Mi ninavyojua kama atakuwa anaugua ukimwi ni rahisi kukuambukiza kwa kukung'ata lakini kuhusu tetanus labda awe na meno ya misumari.
 
Katka hlo sina huwakika ila najua kuna effect waweza zpata ikiwepo kuambukizwa gonjwa hatari la virus aina ya hepatitis{inflammation of the liver causing yellowsh skin,abdominal pain,and weakness} hii nikutokana katka kung'atwa kunakuwa kuna body fluid znazo contaminated kama damu&mate.
 
Katka hlo sina huwakika ila najua kuna effect waweza zpata ikiwepo kuambukizwa gonjwa hatari la virus aina ya hepatitis{inflammation of the liver causing yellowsh skin,abdominal pain,and weakness} hii nikutokana katka kung'atwa kunakuwa kuna body fluid znazo contaminated kama damu&mate.

thanx alot.
 
Back
Top Bottom