Tufahamishane upatikanaji Wa Spare Parts za BMW

Mkuu, nunua tu usiwe na wasiwasi kuhusu vipuri na service. Kwa sasa kuna dealers kadhaa waliospecialize kwenye magari ya Mjerumani, Muingereza hadi Muitaliano hapa Tanzania. Usiwe na wasiwasi kabisa.

Kwa BMW mfano hawa Noble Motors Limited waliopo Julius K. Nyerere Rd, DSM, wanafanya kila kitu hadi diagnosis, service na watakusaidia kupata spare parts.

Dhana kwamba Toyota na magari ya Mjapapani pekee ndio easy kupata spare ilikua zamani kwa sasa kila gari utapata spare.
Na pia unaweza kuagiza online na ikakufikia ndani ya week 2.

Swali ni kwamba, utakua tayari kubadirisha Oil kwa Tsh 120,000? Kama umedekezwa na Toyota eti kwa Tsh 60,000 pale Total umemaliza kila kitu mzee, subiri kwanza.

Na swali la mwisho, unataka sedan, crossover au SUV?

Kila lakheri kwenye kumiliki BMW.

PS: Usiache kutumia Indicators ukiwa barabarani na Bimmer lako.
 
Kubadili oil sio ishu Mkuu maana sio jambo LA kila siku , jambo muhimu ni kuwa tofauti kidogo. Nataka Sedan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natamani sana kumiliki BMW , VIP upatikanaji Wa vipuri vyake kwa hapa Tanzania has a Dar.

Sent using Jamii Forums mobile app
Spares zipo nyingi tu. Ukinunua nitafute. Hata ukitaka ushauri ununue ipi niulize. Kwa kifupi
1.Ukitaka X5 nunua E70 3.0Si hizi ni kuanzia 2007-
2.Ukitaka 3 Series nunua E90 320i hizi zilianzia 2006-
3.Ukitaka 5Series nunue E60 523i kuanzia 2005- ingawa zilianzia 2003
4.Ukitaka X3 nunua kuanzia 2007 2.5Si

Hizo zote ni Petrol engine ni cheaper to maintain than Diesel engine.
 
Hizi za Japan zinazalishwa Japan au WAP? Nataka kuagiza huko??
Sedan chukua 3Series E90 N46 Engine 320i from 2006 au 5Series E60 N52 Engine 323i from 2006....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kubadili oil sio ishu Mkuu maana sio jambo LA kila siku , jambo muhimu ni kuwa tofauti kidogo. Nataka Sedan

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni first car, yaani hujawahi miliki before, me nashauri ungeanza na Toyo tu.

Pia, kama pesa kwaajili ya Service and Maintanance na Running ni ya kuunga pia ungeanza na Toyo kwanza.

Ila kama Pesa sio shida Bimmer chukua.

Kama unaagiza itakua poa sana.

Sedan chukua BMW 3 series 318i (3 series E46 za mwaka 2005 kurudi nyuma) utapata kwa Mil 14 hadi 17 kutokana na conditions options etc.


Kama upo vizuri zaidi, chukua BMW E90 3 series 320i nayo more advanced kuliko 318i. Ni za mwaka 2005 hadi 2012. Hizi ukiagiza andaa kama Mil 24 Minimum hadi inakua barabarani.


Kuna newest model F30 za kuanzia mwaka 2011 hadi leo hizi bei yake mkasi sana sina ujuzi nazo...
Kubadili oil sio ishu Mkuu maana sio jambo LA kila siku , jambo muhimu ni kuwa tofauti kidogo. Nataka Sedan

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • 840b4ebebf88f04a0ebbb08f4722d148--bmw-i-bmw-cars.jpg
    26.7 KB · Views: 178
Hizi za Japan zinazalishwa Japan au WAP? Nataka kuagiza huko??



Sent using Jamii Forums mobile app
Zinatengenezwa Japan. Za UK/German bei kubwa ila ni kitu kile kile. Japan bei ndogo kwasababu demand yake ni ndogo(yaani wanunuzi wengi wa used wananunua japanese hata ukiangalia Tz hio ndio trend)
 
Ninamiliki gari tangu 2011

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…