Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,363
source: michuzi.blogspost.com
Wadau mnaonaje kama serikali ingekazana kurudisha maliasili zote zinazoibiwa na kupelekwa nje km dhahabu, almasi, uranium nk si tungekuwa mbali sana?????? Kwa nini tushupalie vitu symbolic na kuacha vitu material. Hii inaingia akilini kweli?