Tufanye nini ili sanaa yetu iwe kazi inayolipa ?

Tufanye nini ili sanaa yetu iwe kazi inayolipa ?

crankshaft

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,427
Reaction score
3,438
Taifa lenye watu 60m msanii akatoa albam akauza hata kwa alfu 3 kwa 1% ya watu wote nchini ambao ni kama watu 2m anaweza kupata kitu kama bilion 6,kiasi ambacho sidhani kama kuna msanii anamiliki hapa bongo. hii itawapa hamasa wasanii wetu kuongeza ubunifu, watu kuichukulia sanaa kama kazi inayolipa,wasanii wetu wataacha kutumika na wanasiasa kwa sababu ya njaa, n.k

leo hii hebu angalia steven kanumba pamoja na umahili wake wote na umaarufu aliokuwa nao lakini hakuna cha kujivunia kutoka kwake wakati akina michael jackson wanaingiza mabilioni ya pesa huku wakiwa marehemu.

leo hii msanii wizkid wa nigeria huwa anajeuri ya kukataa kuwaimbia wanasiasa kwa sababu ana kipato cha kutosha tofauti na akina diamond.

tufanye nini sasa ili sanaa ya nchini kwetu iwe kazi inayolipa yenye kutengeneza ajira kwa vijana nchini kama kwa wenzetu marekani?
 
Taifa lenye watu 60m msanii akatoa albam akauza hata kwa alfu 3 kwa 1% ya watu wote nchini ambao ni kama watu 2m anaweza kupata kitu kama bilion 6,kiasi ambacho sidhani kama kuna msanii anamiliki hapa bongo. hii itawapa hamasa wasanii wetu kuongeza ubunifu, watu kuichukulia sanaa kama kazi inayolipa,wasanii wetu wataacha kutumika na wanasiasa kwa sababu ya njaa, n.k

leo hii hebu angalia steven kanumba pamoja na umahili wake wote na umaarufu aliokuwa nao lakini hakuna cha kujivunia kutoka kwake wakati akina michael jackson wanaingiza mabilioni ya pesa huku wakiwa marehemu.

leo hii msanii wizkid wa nigeria huwa anajeuri ya kukataa kuwaimbia wanasiasa kwa sababu ana kipato cha kutosha tofauti na akina diamond.

tufanye nini sasa ili sanaa ya nchini kwetu iwe kazi inayolipa yenye kutengeneza ajira kwa vijana nchini kama kwa wenzetu marekani?
Marekan sio wenzako
 
Ni ku support kazi zetu za nyumbani na kutoa constructive criticism... msanii ni kama mtu anaefanya kazi ya ummah bila ujira wowote yan utunge nyimbo, ukarikodi, shoot video, kuisambaza kwa wadau, kutafta exposure kama interview na vingine... yan unafanya kwa mapenz ya dhat wala hujui utatoboa au laah! ni kaz kubwa sana unahitaj timu kila mtu ashike lake! Ukiona msanii yoyote kafanikiwa bas ana watu zaid ya wa3/wanne kwenye team yake na wanacheza nafas yao haswaa..hapa namaanisha kama mtu wa content, mtu wa finances, mtu wa muonekano (designer, photographer)... huwez fanya yote haya peke yako utaishia kuimbia bafuni.

kingine ni unaimba nini? Si unaona bongo ikitokeaga vichwa concious kama 20%, roma, prof j wanapewaga heshima ya kipekeee coz ni rahis kuimba utumbo (gibberish) kuliko kutunga nyimbo kama 'ndiyo mzee' itakayoishi zama zote! Afande Sele kwenye mtazamo akasema sio wote lazima tuwe wanamuziki, wengine wabaki mashabiki.

Mwisho taasisi zinazosimamia maswala ya music hawana +ve impact yoyote zaid ya kukosoa video za vichupi, sijawahi kuskia wanapgia chapuo wasanii walau wapate access ya viwanja na kufungua matamasha vipaji vigundulike, kujisajili tu bss unanunua form haya wangap hawapiti usaili? Ni wizi tuu
 
Taifa lenye watu 60m msanii akatoa albam akauza hata kwa alfu 3 kwa 1% ya watu wote nchini ambao ni kama watu 2m anaweza kupata kitu kama bilion 6,kiasi ambacho sidhani kama kuna msanii anamiliki hapa bongo. hii itawapa hamasa wasanii wetu kuongeza ubunifu, watu kuichukulia sanaa kama kazi inayolipa,wasanii wetu wataacha kutumika na wanasiasa kwa sababu ya njaa, n.k

leo hii hebu angalia steven kanumba pamoja na umahili wake wote na umaarufu aliokuwa nao lakini hakuna cha kujivunia kutoka kwake wakati akina michael jackson wanaingiza mabilioni ya pesa huku wakiwa marehemu.

leo hii msanii wizkid wa nigeria huwa anajeuri ya kukataa kuwaimbia wanasiasa kwa sababu ana kipato cha kutosha tofauti na akina diamond.

tufanye nini sasa ili sanaa ya nchini kwetu iwe kazi inayolipa yenye kutengeneza ajira kwa vijana nchini kama kwa wenzetu marekani?
Elimu
Wasanii wakielewa umuhimu wa elimu swali hili linajibika
 
Bora ata wakenya wana harakati za kucheza ngoma zao ili wasanii wa ndan wafaidike walau kwa streams and royalties
_123287251_6w6a1539.jpg


Huyu ni erick omondi alienda kufanya peaceful demonstration bungeni ku push agenda ngoma local zichezwe kuliko za nje, mataasisi yetu yapo tu useless kabisa!
 
Back
Top Bottom