Tufanye referendum ya mfumo wa vyama vingi

Tufanye referendum ya mfumo wa vyama vingi

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Kwa upendeleo unaona onekana Sasa kwa chama Cha CCM na ubaguzi dhidi ya vyama vya upinzani, hasa kwenye huu uchaguzi wa Serikali za mitaa nashauri ya kwamba ni muda Sasa watanzania waulizwe Kama tuendelee na mfumo wa vyama vingi.

Tunadanganyana kwamba tupo kwenye mfumo wa vyama vingi ilihali Dola na taasisi za uchaguzi zimelalia kwenye chama tawala.

Wananchi wapige kura tuamue moja. Tubaki na chama kimoja ili huu ujinga uishe. Au tukubali mfumo wa vyama vingi wenye marekebisho makubwa ya kikatiba na kisheria. Ila kwa Hali ya Sasa tunafanya unafiki mkubwa Sana kujidanganya kuwa na mfumo wa vyama vingi wakati sio kweli.

Kwa mfano msimamizi mkuu wa uchaguzi wa Serikali za mitaa Mh Mchengerwa alishatanganza hadharani ya kwamba viti vyote vitaenda CCM. Je unategemea atasimamia huo chaguzi kwa haki?.

Soma Pia:
Kuendelea kujidanganya kutasababisha siku moja watu waachane na uchaguzi wahamie kwenye mapinduzi ya kijeshi.
 
Tatizo hii nchi haina wasomi,bado kipengele cha ujinga ni asilimia zaidi ya 95.
Na wasomi waliopo sio wanasiasa.

Tuna watu wana vyeti vya shule tu.Hili ndio kiini cha tatizo la nchi yetu.
 
Kwa upendeleo unaona onekana Sasa kwa chama Cha CCM na ubaguzi dhidi ya vyama vya upinzani, hasa kwenye huu uchaguzi wa Serikali za mitaa nashauri ya kwamba ni muda Sasa watanzania waulizwe Kama tuendelee na mfumo wa vyama vingi.

Tunadanganyana kwamba tupo kwenye mfumo wa vyama vingi ilihali Dola na taasisi za uchaguzi zimelalia kwenye chama tawala.

Wananchi wapige kura tuamue moja. Tubaki na chama kimoja ili huu ujinga uishe. Au tukubali mfumo wa vyama vingi wenye marekebisho makubwa ya kikatiba na kisheria. Ila kwa Hali ya Sasa tunafanya unafiki mkubwa Sana kujidanganya kuwa na mfumo wa vyama vingi wakati sio kweli.

Kwa mfano msimamizi mkuu wa uchaguzi wa Serikali za mitaa Mh Mchengerwa alishatanganza hadharani ya kwamba viti vyote vitaenda CCM. Je unategemea atasimamia huo chaguzi kwa haki?.

Soma Pia:
Kuendelea kujidanganya kutasababisha siku moja watu waachane na uchaguzi wahamie kwenye mapinduzi ya kijeshi.
Machafuko makubwa, ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataleta jibu la kweli la uwepo wa vyama vingi, ama la. Lakini kwa sasa hata ikifanyika kura ya maoni itakuwa ni taarifa za kupika tu.
 
Kiufupi ccm wanakaribisha fujo kwenye taifa na vyombo vya ULINZI na usalama vyenye dhamana ya kutetea uhai wa taifa wao wanatetea uhai wa ccm dhidi ya uhai wa taifa. Je tutakosea tukisema adui wa mama Tanzania ni vyombo vyetu vya ulinzi na usalama? Imagine mkurugenzi ni mwanasiasa ambae anaiba kura na kushurutisha Majina hewa yawepo kwenye daftari lakini back up anaipata wapi? Kwenye vyombo ambao ni TISS NA POLISI! VYOMBO VINATAKIWA KUJUA MICHEZO YAO NI MAANGAMIZI YETU SOTE. NA PIA WAO NDIO WENYE DHAMANA halafu wanatusaliti. Na wanalisaliti Taifa.
 
Hata Mimi nashauri Vyama vya upinzani vijiondoe kwenye huu ujinga. Wawaachie Hawa maharamia ili wafurahi, ila wakumbuke never say never. Muda utaamua.
 
Tatizo hii nchi haina wasomi,bado kipengele cha ujinga ni asilimia zaidi ya 95.
Na wasomi waliopo sio wanasiasa.

Tuna watu wana vyeti vya shule tu.Hili ndio kiini cha tatizo la nchi yetu.

Kweli kabisa. Na hili ndilo tatizo kubwa.
 
Machafuko makubwa, ama mapinduzi ya kijeshi ndio yataleta jibu la kweli la uwepo wa vyama vingi, ama la. Lakini kwa sasa hata ikifanyika kura ya maoni itakuwa ni taarifa za kupika tu.

Kweli mkuu. CCM ikiendelea hivi na dharau zake silver revolution ndio njia sahihi.
 
Kiufupi ccm wanakaribisha fujo kwenye taifa na vyombo vya ULINZI na usalama vyenye dhamana ya kutetea uhai wa taifa wao wanatetea uhai wa ccm dhidi ya uhai wa taifa. Je tutakosea tukisema adui wa mama Tanzania ni vyombo vyetu vya ulinzi na usalama? Imagine mkurugenzi ni mwanasiasa ambae anaiba kura na kushurutisha Majina hewa yawepo kwenye daftari lakini back up anaipata wapi? Kwenye vyombo ambao ni TISS NA POLISI! VYOMBO VINATAKIWA KUJUA MICHEZO YAO NI MAANGAMIZI YETU SOTE. NA PIA WAO NDIO WENYE DHAMANA halafu wanatusaliti. Na wanalisaliti Taifa.

Kweli kabisa, vyombo vya Dola ndio vinaipa kiburi CCM.
 
Kiufupi ccm wanakaribisha fujo kwenye taifa na vyombo vya ULINZI na usalama vyenye dhamana ya kutetea uhai wa taifa wao wanatetea uhai wa ccm dhidi ya uhai wa taifa. Je tutakosea tukisema adui wa mama Tanzania ni vyombo vyetu vya ulinzi na usalama? Imagine mkurugenzi ni mwanasiasa ambae anaiba kura na kushurutisha Majina hewa yawepo kwenye daftari lakini back up anaipata wapi? Kwenye vyombo ambao ni TISS NA POLISI! VYOMBO VINATAKIWA KUJUA MICHEZO YAO NI MAANGAMIZI YETU SOTE. NA PIA WAO NDIO WENYE DHAMANA halafu wanatusaliti. Na wanalisaliti Taifa.
Adui wa kwanza wa taifa hili ni CCM
Ili tuwe na uchaguzi huru na wa kweli lazima CCM iondolewe
 
Hata Mimi nashauri Vyama vya upinzani vijiondoe kwenye huu ujinga. Wawaachie Hawa maharamia ili wafurahi, ila wakumbuke never say never. Muda utaamua.

Kweli kabisa mkuu. Vyama vya upinzani vijiondoe kwenye huu ujinga. Kushiriki huu uchaguzi ni kubariki dhuruma za CCM
 
Kwa upendeleo unaona onekana Sasa kwa chama Cha CCM na ubaguzi dhidi ya vyama vya upinzani, hasa kwenye huu uchaguzi wa Serikali za mitaa nashauri ya kwamba ni muda Sasa watanzania waulizwe Kama tuendelee na mfumo wa vyama vingi.

Tunadanganyana kwamba tupo kwenye mfumo wa vyama vingi ilihali Dola na taasisi za uchaguzi zimelalia kwenye chama tawala.

Wananchi wapige kura tuamue moja. Tubaki na chama kimoja ili huu ujinga uishe. Au tukubali mfumo wa vyama vingi wenye marekebisho makubwa ya kikatiba na kisheria. Ila kwa Hali ya Sasa tunafanya unafiki mkubwa Sana kujidanganya kuwa na mfumo wa vyama vingi wakati sio kweli.

Kwa mfano msimamizi mkuu wa uchaguzi wa Serikali za mitaa Mh Mchengerwa alishatanganza hadharani ya kwamba viti vyote vitaenda CCM. Je unategemea atasimamia huo chaguzi kwa haki?.

Soma Pia:
Kuendelea kujidanganya kutasababisha siku moja watu waachane na uchaguzi wahamie kwenye mapinduzi ya kijeshi.
Kiufupi ccm wanakaribisha fujo kwenye taifa na vyombo vya ULINZI na usalama vyenye dhamana ya kutetea uhai wa taifa wao wanatetea uhai wa ccm dhidi ya uhai wa taifa. Je tutakosea tukisema adui wa mama Tanzania ni vyombo vyetu vya ulinzi na usalama? Imagine mkurugenzi ni mwanasiasa ambae anaiba kura na kushurutisha Majina hewa yawepo kwenye daftari lakini back up anaipata wapi? Kwenye vyombo ambao ni TISS NA POLISI! VYOMBO VINATAKIWA KUJUA MICHEZO YAO NI MAANGAMIZI YETU SOTE. NA PIA WAO NDIO WENYE DHAMANA halafu wanatusaliti. Na wanalisaliti Taifa.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    420.8 KB · Views: 4
  • 20240907_095744 (1).jpg
    20240907_095744 (1).jpg
    116.1 KB · Views: 2
  • 5810871-156c33252d331784831e630b50148deb.mp4
    2 MB
  • 5811523-6041f5af6e2b5c7600d07027005d6658.mp4
    3.7 MB
  • 5808629-57f86e47f2e7305376bcccf74fb56df4.mp4
    2.1 MB
  • 5808626-bde51487c15170759ed7838e0c83538c.mp4
    339 KB
Adui wa kwanza wa taifa hili ni CCM
Ili tuwe na uchaguzi huru na wa kweli lazima CCM iondolewe

CCM ni kirusi kibaya Sana. Ili Taifa lipone CCM inatakiwa kuondolewa.
 
Mfumo wa vyama vingi wenyewe uliassiwa kwa kupuuza maoni ya walio wengi.

Ni muendelezo tu wa ukwapuaji na upuuzi
 
Back
Top Bottom