Tufanye tathmini (review) ya robo mwaka (Q1: Jan to March 2024)

Tufanye tathmini (review) ya robo mwaka (Q1: Jan to March 2024)

Mr Confidential

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,532
Reaction score
2,415
Wakuu, Heri ya Pasaka

Ni juzi juzi tu tumeanza mwaka 2024. Mwaka unakimbia kwa speed ya 6G

Mara nyingi huwa tunafanya review za mipango yetu mwisho wa mwaka, kuangalia nini tumefanikisha na nini tumeshindwa kufanikisha.

This time nimeona bora niwe nafanya review kwa quarter.

Kati ya malengo niliyoweka ni pamoja na haya ;
1. Financial goals (Saving every month >=600k)
2. Self Improvement (Reading books, 1 every week)
3. Health care improvement (eating health & body exercise at least 4 days per week)

RESULTS
1. Financial goals: Nina savings za 2M hadi mda huu naandika hii thread
2. Sijamaliza kitabu cha kwanza nlichoanza kusoma🙁
3. Kwenye health nimefanikisha kula balanced diet vizuri, Ila mazoezi sina consistency, on average ni 2 days per week

HEADING TO Q2
1. Financial goals: Saving threshold naweka 1M per month
2. Self Improvement : Kwa april ntasoma vitabu vitatu. May na june vitabu sita
3. Health care : naacha vile-vile 4 days body exercise

Karibuni kushare progress yako katika Q1 kama kuna mistake ambazo umefanya au vitu vizuri umefanya tusifunze kwa pamoja.

Mwenyezi Mungu akijalia uzima na afya, nitarudi End of Q2 Kushare progress
Depal Mshana Jr cocastic Mgalikoko Mad Max RRONDO The Knowledge Seeker Beberu Ncha Kali Joseverest
 
Yooo! Hongera, ubarikiwe & ukafanikiwe zaidi katika malengo yako.

Huu mwaka ni kama una baraka flani hivi. Mungu aendelee kuufanya mwepesi zaidi… sijui ni sbb unagawanyika? Yan uko very soft.

Vitabu nilivyosoma..
BIBLIA- kila siku
Tenzi za rohoni- kila siku
Chuo kidogo cha Sala’ Kwaresma imeisha,, iko sidhani kama nitakifungua tena 😂

Afya: Toka mwaka umeanza mpk dk hii sijafika mlango wa Hospital,, mazoezi sifanyi.. ila uwa natembea tembea+ ngazi nikiwa huko kwenye mkate wa kila siku.

Saving… God is Great, naziweka kikoba & saccoss
Mr Confidential unasevia bank au? Unayashinda vipi majaribu ya kwenda kuzidokoa?
 
Yooo! Hongera, ubarikiwe & ukafanikiwe zaidi katika malengo yako.

Huu mwaka ni kama una baraka flani hivi. Mungu aendelee kuufanya mwepesi zaidi… sijui ni sbb unagawanyika? Yan uko very soft.

Vitabu nilivyosoma..
BIBLIA- kila siku
Tenzi za rohoni- kila siku
Chuo kidogo cha Sala’ Kwaresma imeisha,, iko sidhani kama nitakifungua tena 😂

Afya: Toka mwaka umeanza mpk dk hii sijafika mlango wa Hospital,, mazoezi sifanyi.. ila uwa natembea tembea+ ngazi nikiwa huko kwenye mkate wa kila siku.

Saving… God is Great, naziweka kikoba & saccoss
Mr Confidential unasevia bank au? Unayashinda vipi majaribu ya kwenda kuzidokoa?
Aaah hongera sana
Huwa nasave UTT amis. Ila for a special purpose (target) naweka bank

ILi nsipate vishwishi nina unique budget ya kila mwezi, sijinyimi kwa vitu vya msingi.
 
Aaah hongera sana
Huwa nasave UTT amis. Ila for a special purpose (target) naweka bank

ILi nsipate vishwishi nina unique budget ya kila mwezi, sijinyimi kwa vitu vya msingi.
Umenikumbusha. Ngoja nikatupie ka chenji Ukwasi.
UTT naweka chenji 😂😂 nina 20/30k haina kazi ndo nairushia kule.

Mimi bank bana, sitoboi 😂😂 nitazila zote
 
Umenikumbusha. Ngoja nikatupie ka chenji Ukwasi.
UTT naweka chenji 😂😂 nina 20/30k haina kazi ndo nairushia kule.

Mimi bank bana, sitoboi 😂😂 nitazila zote
Bila shaka unatumia mobile banking eeh😂, zinashawishi sana kuspend pesa
 
Thread nzuri sana....🤝

Huu mwaka nauona umeanza na neema sana Mungu ajalie uendelee hivi hivi, Amen

Malengo niliyojiwekea

1: Kufanya saving....
njia nliyochagua rahisi ni kukatwa salary huko huko juu kwa juu inawekwa kwenye account nyingine(nmefanikiwa kwa kiasi chake 😹 zilifika kiasi flani shida kama kawaida zikaja zimenisimamia na miguu miwili nkatumia ila nmeanza tena Alhamdullilah)

2: Kuachana kabisa na madeni (free from debt )
From jan to march nimeyapunguza mnoo nmebaki na laki 4 na 80 kufikia june nataka deni lisome 0.0

3: Kuanzisha tabia mpya mbili ya kwanza kusoma vitabu, nimejaribu nimeweza....hadi sasa nmesoma

•Love your self, pay your self first (kina madini hadi sio poa)
•Who moved my cheese (sisi waoga wa kufata fursa nyingine 😢)
•The secret, daily teachings
•Men are from mars women are from venus (wale wa kuboresha mahusiano kisomeni)
•Power of pussy 😹😹
•why men marry bitches
•The monk who sold his ferrary

Now nasoma Atomic behaviours

Tabia nyingine keeping more silence and staying positive (najitahidi kwa kiasi chake) japo walimwengu wana chokochoko sana 😹

Lengo lingine hili naomba nisiliongelee likitiki nitaandika 31.12.2024 nikijaaliwa uzima na uwezo wa kuandika tena hapa.

2024 imeanza vema, I thank God
 
Hongera sana ase. Natamani kufika na kujitahidi kufanya kutimiza malengo hata robo ya uliyofikia, ila uvivu na uzembe ni mwingi mno. Kwa mwaka huu malengo ni kuhakikisha najifunza lugha ya kigeni na kuboresha kiingereza na kusoma vitabu si chini ya 10. Kwenye mazoezi bado kabisa, kila ikifika saa 11 nijisukume kuamka inashindikana. Tunatokaje hapa?
 
😂 ingia gym za kitaa zile sio za 5*
Tofauti na hapo sijui, maana usingizi wa alfajiri mtamu sana.
Hahah, nachukua hii. Kesho asubuhi acha nianze huu mchakato, na gym yenyewe haipo mbali. Nikifanikiwa kwenye hili, nina uhakika suala la uvivu halitokuwapo tena.
 
😂 ingia gym za kitaa zile sio za 5*
Tofauti na hapo sijui, maana usingizi wa alfajiri mtamu sana.
Ukiamua unaamka asee, mi nlikuaga nashangaa mtu akinambia kaamka saa tisa au kumi, January nmeanza kuamka kumi kamili alfajiri....inawezekana kumbe
 
Ukiamua unaamka asee, mi nlikuaga nashangaa mtu akinambia kaamka saa tisa au kumi, January nmeanza kuamka kumi kamili alfajiri....inawezekana kumbe
Unamka kusali au? Mimi naamka saa 12, napo kwa vurugu 😂😂 lazima nigombane na blanket
 
Ukiamua unaamka asee, mi nlikuaga nashangaa mtu akinambia kaamka saa tisa au kumi, January nmeanza kuamka kumi kamili alfajiri....inawezekana kumbe
Niliweza kuwa macho saa 11 sasa kutoka kitandani naona imebakia mtihani.

Ila ni jambo zuri sana kuweza kuamka mapema walau saa 11 kwa wale wavivu.

hii pia ilinipa nidhamu ya kupumzika mapema usiku na kupata muda mwingi na familia.
 
Unamka kusali au? Mimi naamka saa 12, napo kwa vurugu 😂😂 lazima nigombane na blanket
Dahhh ingekua kusali basi ni usingizi hadi macho hayafumbuki 🤣🤣🤣🤣 shetani ana nguvu kuliko breakdown.

Kuna kabiashara tu kananipa maokoto, hivo kananipa nguvu za kuamka muda huo .....kama sio maokoto kutoka kitandani mapema mtihani 😹
 
Back
Top Bottom