BIG THINKER
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 680
- 1,436
Watu wanazungumza mengi kuhusu katiba mpya wapo wanaosema itakuwa mkombozi na itawatoa kwenye maisha magumu.
Chonde chonde tufanye yote ila KUMPUNGUZIA mamlaka rais linaweza likawa kosa kubwa likatughalim baadae, ni sawa na ww baba upunguziwe mamlaka kwako Kuna namna watoto watakupanda kichwani kama siyo mke wako.
Ukiona Big thinker nimeandika kitu ujue kuna jambo.
Chonde chonde tufanye yote ila KUMPUNGUZIA mamlaka rais linaweza likawa kosa kubwa likatughalim baadae, ni sawa na ww baba upunguziwe mamlaka kwako Kuna namna watoto watakupanda kichwani kama siyo mke wako.
Ukiona Big thinker nimeandika kitu ujue kuna jambo.