ODILI SAMALU
JF-Expert Member
- Dec 13, 2013
- 1,369
- 489
Wakuu kuna hoja tulikuwa tunajadili kwamba ili kuboresha elimu ya tanzania vitu gani vifanyike? ,miundombinu,mishahara,au nin ahsanteni,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu kuna hoja tulikuwa tunajadili kwamba ili kuboresha elimu ya tanzania vitu gani vifanyike? ,miundombinu,mishahara,au nin ahsanteni,
kuwapa walimu malipo stahili,elimu ya kutosha, elimu iwe ajira muhimu sio ukikosa kazi ndio ukimbilie elimu
Mishahara ya walimu hailingani na ugumu wa kazi yake,