ODILI SAMALU
JF-Expert Member
- Dec 13, 2013
- 1,369
- 489
Wakuu kuna hoja tulikuwa tunajadili kwamba ili kuboresha elimu ya tanzania vitu gani vifanyike? ,miundombinu,mishahara,au nin ahsanteni,
kuwapa walimu malipo stahili,elimu ya kutosha, elimu iwe ajira muhimu sio ukikosa kazi ndio ukimbilie elimu
Mishahara ya walimu hailingani na ugumu wa kazi yake,