Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni kuharibika mbona hiyo toka zamani..??? Ubakumbuka enzi za kuvaa majani usawa wa uzazi tuu na kwa nyuma....?? Tena kwa wanawake matiti yalikuwa yanaachwa nje, sembuse hawa wameyafunika...!!!???![]()
Hivi hii ni sawa? masuala ya kimagharibi yanazidi kutuaribia kizazi chetu, tufanyeje kukomesha hali hii,