Kaitaba JF-Expert Member Joined Jun 30, 2009 Posts 915 Reaction score 54 Aug 13, 2010 #1 Hivi hii ni sawa? masuala ya kimagharibi yanazidi kutuaribia kizazi chetu, tufanyeje kukomesha hali hii,
Hivi hii ni sawa? masuala ya kimagharibi yanazidi kutuaribia kizazi chetu, tufanyeje kukomesha hali hii,
Ngalikihinja JF-Expert Member Joined Sep 1, 2009 Posts 33,643 Reaction score 36,090 Aug 13, 2010 #2 Kaitaba said: Hivi hii ni sawa? masuala ya kimagharibi yanazidi kutuaribia kizazi chetu, tufanyeje kukomesha hali hii, Click to expand... Kama ni kuharibika mbona hiyo toka zamani..??? Ubakumbuka enzi za kuvaa majani usawa wa uzazi tuu na kwa nyuma....?? Tena kwa wanawake matiti yalikuwa yanaachwa nje, sembuse hawa wameyafunika...!!!???
Kaitaba said: Hivi hii ni sawa? masuala ya kimagharibi yanazidi kutuaribia kizazi chetu, tufanyeje kukomesha hali hii, Click to expand... Kama ni kuharibika mbona hiyo toka zamani..??? Ubakumbuka enzi za kuvaa majani usawa wa uzazi tuu na kwa nyuma....?? Tena kwa wanawake matiti yalikuwa yanaachwa nje, sembuse hawa wameyafunika...!!!???
Mkeshahoi JF-Expert Member Joined Jan 4, 2009 Posts 2,469 Reaction score 284 Aug 17, 2010 #3 Na kwa mswati je?... ni u-magharibi?!:confused2: