Tufunge mjadala: Vijana wenzangu oeni mke mzuri ni huyu hapa

Tufunge mjadala: Vijana wenzangu oeni mke mzuri ni huyu hapa

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Nimesikia yote kuhusu malalamiko baina ya wanandoa ila kubwa imeonekana tatizo ni watu hawapati watu sahihi Mimi nimeshuhudia mke sahihi atakayekupenda story yenu iwe kama ifuatavyo.

1.Umzidi umri kuanzia miaka 7-10.
2.Umzidi urefu kidogo sana
3.Umzidi elimu Na mafanikio
4.Atokee familia ya kilimo ndani ndani maisha ya kijijini
5.Uwe real kwake kwa week za mwanzoni za mahusiano umuonyeshe tabia zako halisi usimfiche
6.Unapokutana naye katika matembezi mwambie siku hiyo hiyo unataka umuoe
7.Kesho yake mtafute sana mkutane ukishafanya yako mkaribishe ndani
8.Anza mawasiliano Na mama yake Na kaka yake mwanamke
9.mambo yakiwa mazuri mkawa mnaishi zingatia sana misosi mke lazima apende sana kupika nunua kila kitu muonyeshe utofauti mgonge karibia kila siku mpaka umpe mimba fasta ndani ya mwaka lazima awe mpole
10.Kama unauwezo Wa kufanya harusi ya kawaida mnafanya tu kama pia mtaishi muishi tu ndo mkeo huyo changamoto zitapita mtazoeana mtapendana hawana gharama wakijijini stories zenu ziwe misosi tu.kwanini uishi mwenyewe mwanaume komaa wanawake wapo Na wanakuja Na upepo Wa bahati ila pia wapo wanaokuja kuharibu utawajua tu slay queens.
 
Nimesikia yote kuhusu malalamiko baina ya wanandoa ila kubwa imeonekana tatizo ni watu hawapati watu sahihi Mimi nimeshuhudia mke sahihi atakayekupenda story yenu iwe kama ifuatavyo.
1.umzidi umri kuanzia miaka 7-10.
2.umzidi urefu kidogo sana
3.umzidi elimu Na mafanikio
4.atokee familia ya kilimo ndani ndani maisha ya kijijini
5.uwe real kwake kwa week za mwanzoni za mahusiano umuonyeshe tabia zako halisi usimfiche
6.unapokutana naye katika matembezi mwambie siku hiyo hiyo unataka umuoe
7.kesho yake mtafute sana mkutane ukishafanya yako mkaribishe ndani
8.anza mawasiliano Na mama yake Na kaka yake mwanamke
9.mambo yakiwa mazuri mkawa mnaishi zingatia sana misosi mke lazima apende sana kupika nunua kila kitu muonyeshe utofauti mgonge karibia kila siku mpaka umpe mimba fasta ndani ya mwaka lazima awe mpole
10.kama unauwezo Wa kufanya harusi ya kawaida mnafanya tu kama pia mtaishi muishi tu ndo mkeo huyo changamoto zitapita mtazoeana mtapendana hawana gharama wakijijini stories zenu ziwe misosi tu.kwanini uishi mwenyewe mwanaume komaa wanawake wapo Na wanakuja Na upepo Wa bahati ila pia wapo wanaokuja kuharibu utawajua tu slay queens.
Hakuna formula ya kupata mke mwema, unaweza kufanya haya yote na bado ukaangukia kwenye majuto, tujifunze kumshirikisha Mungu na kuwa na subira kwenye suala zima la ndoa

Pia unaposema unahitaji mke mwema, jiulize wewe ni mume mwema, it goes both sides. Acheni kupotosha kwamba wanawake ni janga na kuendekeza kampeni za kataa ndoa badala yake tujikite kufundisha maadili kwenye jamii zetu na haya matatizo ya ndoa yote yatakwisha

Tatizo kubwa linaanzia kwenye malezi na maadili, tukiwekeza nguvu kubwa hapo tutajenga jamii bora zenye kuwajibika
 
Back
Top Bottom