Tuhabarishane kupata uhakika

Tuhabarishane kupata uhakika

Maquiseone

Member
Joined
Feb 24, 2008
Posts
40
Reaction score
1
Hey,
Nadhani kuna uwezekano kuwa anytime kutakuwa na kazi kwa wabongo kule Buzwagi. Nasema hayo kwa maana makampuni makubwa ya kutangaza kazi yameanza kupost nafasi za juu za kuwapata exparts. So wale wajuao nini kinaendelea watuhabarishe kwa ufasaha
 
Back
Top Bottom