Tuhabarishe mwenendo wa kesi ya ZOMBE

Kenge (Eng)

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2006
Posts
543
Reaction score
160
Jamani tunaomba nyie mliopo DAR mwendelee kutupa nyepesi za kesi hiyo kwani hakuna update baada ya 12/02/2009 baada ya BAGEN. tuendelee kwani tuna shauku ya kusikia wasemanyo watuhumiwa wengine, hakuna habari za MAKELE nadhani bado yupo kizimbani leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…