#COVID19 Tuhamasishe watu Kuchoma Kinga ya Corona. Tuliochoma Tujitokeze hapa kushuhudia

#COVID19 Tuhamasishe watu Kuchoma Kinga ya Corona. Tuliochoma Tujitokeze hapa kushuhudia

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Ni kama watu wanajaribu kujisahaulisha Ugonjwa wa Corona. Jamani Covid 19 ipo na inaua. Tuchomeni Kinga na tusisahau kuvaa barakoa sehemu zenye mikusanyiko.

Serikali kwa upendo iliamua kusambaza chanjo. BURE KABISA. watu wanaonekana kujisahaulisha jinsi Covid 19 inavyoua. Tumeona watu wamefariki na hili gonjwa.

Sisi ambao tumechanjwa kwa sasa hatuna tena wasiwasi. Naendelea kuvaa Barakoa. Naona watu wameamua kujivuka mabomu. Hawataki kuvaa barakoa. Vaeni barakoa.
 
Ni kama watu wanajaribu kujisahaulisha Ugonjwa wa Corona. Jamani Covid 19 ipo na inaua. Tuchomeni Kinga na tusisahau kuvaa barakoa sehemu zenye mikusanyiko.

Serikali kwa upendo iliamua kusambaza chanjo. BURE KABISA. watu wanaonekana kujisahaulisha jinsi Covid 19 inavyoua. Tumeona watu wamefariki na hili gonjwa.

Sisi ambao tumechanjwa kwa sasa hatuna tena wasiwasi. Naendelea kuvaa Barakoa. Naona watu wameamua kujivuka mabomu. Hawataki kuvaa barakoa. Vaeni barakoa.
Mimi ukinipa kitu ukaweka neno BURE tunakosana.

Hamasisha chanjo ya BURE Kwa familia Yako na ikibidi na mifugo Yako chanja.
 
Mimi ukinipa kitu ukaweka neno BURE tunakosana.

Hamasisha chanjo ya BURE Kwa familia Yako na ikibidi na mifugo Yako chanja.
Hapo mkuu sasa si unaamua tu kulipia.yaani ukichanjwa unatoa tsh 50,000 au 100,000 inakuwa umelipia.
 
Hapo mkuu sasa si unaamua tu kulipia.yaani ukichanjwa unatoa tsh 50,000 au 100,000 inakuwa umelipia.
UGONJWA FAKE, chanjo FAKE, Kinga ya mwili wangu inatosha.

Najua linakuja wimbi lingine la COVID la mchongo.
 
Ni kama watu wanajaribu kujisahaulisha Ugonjwa wa Corona. Jamani Covid 19 ipo na inaua. Tuchomeni Kinga na tusisahau kuvaa barakoa sehemu zenye mikusanyiko.

Serikali kwa upendo iliamua kusambaza chanjo. BURE KABISA. watu wanaonekana kujisahaulisha jinsi Covid 19 inavyoua. Tumeona watu wamefariki na hili gonjwa.

Sisi ambao tumechanjwa kwa sasa hatuna tena wasiwasi. Naendelea kuvaa Barakoa. Naona watu wameamua kujivuka mabomu. Hawataki kuvaa barakoa. Vaeni barakoa.
Tupo na Ebola sasa huku kwa mzee wagadugundu
 
Back
Top Bottom