Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
Alichemka management...alikiba n mtu wakufanya mambo yake....hawez kabisa izo habar kujisimamia plus kusimamia mtuNataka kujua kwann alikiba wale vijana kings music walikimbia na walikuwa wana saut nzur sana
Kwani si angeajiri meneja wa kuwasimamia tu, mbona walikuwa wakifanya vizuri Halafu Sasa hivi wamepotea?Alichemka management...alikiba n mtu wakufanya mambo yake....hawez kabisa izo habar kujisimamia plus kusimamia mtu
Syo kila mmoja anaweza KUFANYA hayo unayoshauri.....mwingine muda wa kumsimamia mwingine Hana..Kwani si angeajiri meneja wa kuwasimamia tu, mbona walikuwa wakifanya vizuri Halafu Sasa hivi wamepotea?