Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Kiukweli mimi ni mmoja wa watu na mashabiki wa Diamond na mashabiki wengine ambao tuna amini Nyimbo na video za wasanii husika ikiwemo Diamond zina makosa na walipaswa kujikita kurekebisha makosa na si kushutumu....maaana ukiniuliza swali Nyimbo zilizofungiwa zina makosa nitakwambia ndio.
Sasa baada ya rungu la Basata kwa wasanii husika kuna watu au taasisi zimekuwa zikiandamwa bila sababu nao ni Juliana Shonza na Clouds na kosa la Juliana Shonza ni kuhudhuria interview ya Kipindi cha XXL cha CLOUDS FM
Ukisikiliza ile interview utagundua kuwa watangazaji karibu wote walikuwa wana watetea wasaniii ikiwemo Diamond tena walitetea sana ikiwemo nyimbo husika...lakini chakushangaza Diamond anaanza kudanganywa kuwa Clouds na Shonza wana shirikiana kuamuangusha....
Bado nakosa jibu kabisa hivi Clouds ndio walimtuma Diamond kurekodi video za namna hii?
Je video na nyimbo za Diamond hazina shida? kwanini watu waangushiwe lawama?
Na mnukuu William Lemtuz akirusha tuhuma kwa Juliana shonza na Clouds media Je ni kweli hizi tuhuma?
I mean WaTanzania tumeaibika sana kwenye music industry Duniani na kwa muda mrefu sana leo finally Mungu amesikia kilio chetu tuna Msanii anayetuweka kwenye ramani ya Dunia ni majuzi amechaguliwa kutengeneza Wimbo na Show ya ufunguzi katika Mashindano ya Kombe la Dunia leo wewe upo busy kupigana naye kwenye Social Media hivi sisi Wabongo what has gone wrong na our thinking? ..halafu naomba kuuliza Naibu Waziri hivi kweli ndiye anayetakiwa kufungia miziki au Basata? hivi ni kweli Naibu Waziri ndiye uliyetakiwa kuwaita kina Gigi Money na Sanchi kweli seriously kuhusu mavazi na tabia zao kama wasanii? ..
I mean something is wrong mheshimiwa aidha unatumiwa bila kujijua au you are missing something but kitendo cha wewe kuungana na "MUNGU MTU" against Diamond HAKIKUBALIKI CHANGE NOW!
Sasa baada ya rungu la Basata kwa wasanii husika kuna watu au taasisi zimekuwa zikiandamwa bila sababu nao ni Juliana Shonza na Clouds na kosa la Juliana Shonza ni kuhudhuria interview ya Kipindi cha XXL cha CLOUDS FM
Ukisikiliza ile interview utagundua kuwa watangazaji karibu wote walikuwa wana watetea wasaniii ikiwemo Diamond tena walitetea sana ikiwemo nyimbo husika...lakini chakushangaza Diamond anaanza kudanganywa kuwa Clouds na Shonza wana shirikiana kuamuangusha....
Bado nakosa jibu kabisa hivi Clouds ndio walimtuma Diamond kurekodi video za namna hii?
Je video na nyimbo za Diamond hazina shida? kwanini watu waangushiwe lawama?
Na mnukuu William Lemtuz akirusha tuhuma kwa Juliana shonza na Clouds media Je ni kweli hizi tuhuma?
I mean WaTanzania tumeaibika sana kwenye music industry Duniani na kwa muda mrefu sana leo finally Mungu amesikia kilio chetu tuna Msanii anayetuweka kwenye ramani ya Dunia ni majuzi amechaguliwa kutengeneza Wimbo na Show ya ufunguzi katika Mashindano ya Kombe la Dunia leo wewe upo busy kupigana naye kwenye Social Media hivi sisi Wabongo what has gone wrong na our thinking? ..halafu naomba kuuliza Naibu Waziri hivi kweli ndiye anayetakiwa kufungia miziki au Basata? hivi ni kweli Naibu Waziri ndiye uliyetakiwa kuwaita kina Gigi Money na Sanchi kweli seriously kuhusu mavazi na tabia zao kama wasanii? ..
I mean something is wrong mheshimiwa aidha unatumiwa bila kujijua au you are missing something but kitendo cha wewe kuungana na "MUNGU MTU" against Diamond HAKIKUBALIKI CHANGE NOW!