Waache wawe ma detective kwani ma detective wenyewe hawajawahi kufanikiwa hata siku moja.Ni watu wachache sana watakao kuelewa unamaanisha nini? watanganyika wamekuwa mainvestigator na madetective kichwani mwao na ktk ubongo space ya majibu kuko full wakati space ya facts na maswali kuko empty
Akili za kuambiwa changanya na zako ktk hayo aloyataja huyo lipi Mpk Sasa unepata matokeo ya uchunguz wake?Ni watu wachache sana watakao kuelewa unamaanisha nini? watanganyika wamekuwa mainvestigator na madetective kichwani mwao na ktk ubongo space ya majibu kuko full wakati space ya facts na maswali kuko empty
Polisi wa Bongo? Wanao ukiwa wananchi nani anajua muhalifu? Mtasubiri sanaKwa kuwa Lissu amejipambanua ni mwiba katika siasa za upinzani, tukio la kupigwa risasi mchana kweupe, tuombe Jeshi la Polisi liweke wazi matokeo ya upelelezi wake. Kufanya hivyo kutaondoa hofu zilizopo kuwa kuna siasa chafu nchini ili kuelekea kwenye utawala bora kufikia nia na lengo la Tanzania mpya ya uchumi wa kati.
Suala si serikali ya nani bali ni serikali ileile ya CCM kitu ambacho mwanzisha mada anajisahaulisha. Je wauwaji wa mauaji ya Mwembechai, Zanzibar walichukuliwa hatua gani?hao wote walio fanya unyama huo kuanzia kwa mwalimu pemba kwa mwigamba mwagosi na sasa lisu tuwajumuishe kwenye idadi ya watu waitwao
watu wasio fahamika/julikana?
ushahidi upo mzee ni ccm na dola yakeEXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....
naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!
....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
Hivi ukitoa lugha ya uchochezi polisi wanasubiri mpaka ufike uwaambie tena kituoni?Hivi ukitishiwa na wahalifu halafu uitishe press conference na medias. Bila kutoa taarifa kwenye vyombo husika..unataka police waje kwako wakuulize aliyekutisha ni nan??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe mnajijua kabisa kwamba mmesaliti nchi na kuanza kutetea wezi wa madini?Lakini pia serikali ilisema kuwa, 'kwenye hili la madini, ni vita. Yule atakayekwenda tofauti na sisi ni msaliti, adhabu anayostahili inajulikana, askari wanajua'.
Huyu Malecela atuambie maana ya hiyo kauli.
Hii ni busara kubwa sana mkuu JokaKuu@W.J. Malecela,
..mnaoamini serikali mnaweza kusubiri majibu toka huko.
..wanaoamini vyombo, au taasisi nyingine, nao watapata/wameshapata majibu toka kwa wanaowaamini.
cc Nyani Ngabu
Tueleze kwanza SIKU ya alhamisi BASHITE alikuwa wapi wakati Rais anapokea ripoti pale ikulu?
Very good observation and message......but to the wrong people. Hii aione mwenyekiti wa CCM wa Taifa..please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi