buthabutha
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 659
- 396
EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....
naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!
....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz[/QUOTE
Mhusika atajichunguzaje?
Ukisikia wanafiki ndio hawa, ni jana tu ulikuwa unamuita Lissu ni msaliti wa taifa leo eti unatoa ushauri kwa mtu asiye mzalendo.Naam,kutokana na hali ilivyo kwa sasa Tundu Lissu ahakikishe kuwa yeye na familia yake ndio waratibu suala la dereva na usalama wake.
Asimuamini mtu yeyote nje ya familia yake kwa sasa. Ajifunze kwa ZZK jinsi ya kuishi katika kipindi cha mpito huku akitathimini mustakabali wake kisiasa.
Ukweli ni kwamba katika Chadema kwa sasa kuna Chadema walio Chadema na kuna Chadema wasio Chadema. Tundu Lissu ni Chadema aliye Chadema ila viongozi wengi ni Chadema wasio Chadema.
Yaaan Wewe Unalinganisha Jana na Leo! Jua dalili YA mvua ni mawingu... Alishasema anafuatiliwaa?EXTRA STRAIGHT TALK:- Unaporusha rusha maneno ya kichochezi kuhusu kushambuliwa kwa Mh. Tundu Lissu bakisha maneno na tafuta Facts kwanza ....
naomba nikukumbushe kwa FACTS .....Mauaji ya Waisilamu Mwembe Chai Mwezi May, Mwaka 1998 Rais hakuwa Magufuli!....Wakati wafuasi wa CUF Pemba wanapigwa mabomu Mwaka 2001 January na kuuliwa wafuasi wao 20 Rais hakuwa Magufuli ....Mwaka 2002 September 2, Muandishi wa Habari Daudi Mwangosi alipouliwa na Bomu Iringa Rais hakuwa Magufuli! ....January 5, 2011 Wananchi 3 waliuawa kwa Risasi za Polisi Arusha kuthibiti maandamano yasiyokuwa na kibali vipi Rais hakuwa Magufuli! ....June 28, 2012 Dr. Ulimboka alitekwa na watu wasiojulikana akiwa Leaders Club anapata supu asubuhi Rais hakuwa Magufuli! ....Mwezi May, 2013 Muandishi wa Habari maarufu Absalom Kibanda alipotekwa na kupigwa vibaya Rais hakuwa Magufuli....na June/2008 Makamu wa Mwenyekiti Chadema aliyekuwa anataka kugombea Uenyekiti wa chama hicho na kuishia kufariki kwenye ajali ya ajabu Dodoma Rais hakuwa Magufuli ....October, 2013 Mwigamba alipopigwa mpaka kuzimia kwa kudai mahesabu ya Chadema Rais hakuwa Magufuli!
....please msijaribu kupandikiza chuki baina yetu wananchi tutaendelea kuwakumbusha kuwa hakuna ushahidi so far wa nani anahusika na kupigwa kwa Mh. Tundu Lissu ...wote tunamuombea apone haraka ila tutaendelea kupinga hukumu za bila Facts against Serikali ....kuhusu matibabu kwa utaratibu wa Serikali ili Mbunge akatibiwe nje ya nchi na kulipiwa na Serikali ni lazima ithibitishwe na Matabibu wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwamba WAMESHINDWA na jana ni FAMILIA YA LISSU ndiyo iliyodai kutaka Lissu akatibiwe nje na sio Madaktari wa Muhimbili kama utaratibu unavyotaka na sababu walisema wanahofia usalama wake ...now Serikali ya Rais Magufuli haina cha kufanya isipokuwa kuwaruhusu familia yake wafanye wanachotaka ....Thanks tutaendelea kuwekana sawa kwa FACTS kuhusu kinachoendelea na some of us tutaendelea kusimamia Ukweli tu ...kushambuliwa kwa Lissu hakumfanyi anyone kuwa na haki ya kuhukumu wengine bila FACTS Taifa ni letu wote so relax guys ...kama hamna FACTS nyamazeni iachieni Serikali ifanye kazi yake STOP THE MADNESS! - le Mutuz
hoja za matusi?Taahira mkubwa wewe umetumwa na dikteta wenu kupoteza maboya.....wekeni bunduki chini tupingane kwa hoja.
Kikulacho,.....
Hapa ninaongelea masuala ya usalama wake kama binadamu na si uzalendoUkisikia wanafiki ndio hawa, ni jana tu ulikuwa unamuita Lissu ni msaliti wa taifa leo eti unatoa ushauri kwa mtu asiye mzalendo.
Maneno yenu ya kinafiki hayatawasaidia kitu.
Mlivyopanga imekuwa ndivyo sivyo kajipangeni upya, mjue kwenye mipango yenu kama mnamshirikisha shetani kwa Mungu haitafanikiwa.
Mna haraka gani mbona CCM mna wasiwasi hivyo subirini, mliyetaka kumuua amesema atakuja kumwaga kila kitu hadharani yeye siyo Mroma.Bwana Adam dreva wa Lissu hakupata hata mchubuko hahaaaaaa akili za kuambiwa changanya na zako
Alikuwa target yenu pia? Kama mlimlenga na mkamkosa basi hayo ndio tunasema kuwa ni makusudi ya Mungu kumlinda ili aje auseme ukweli.Bwana Adam dreva wa Lissu hakupata hata mchubuko hahaaaaaa akili za kuambiwa changanya na zako
Alikuwa target yenu pia? Kama mlimlenga na mkamkosa basi hayo ndio tunasema kuwa ni makusudi ya Mungu kumlinda ili aje auseme ukweli.Bwana Adam dreva wa Lissu hakupata hata mchubuko hahaaaaaa akili za kuambiwa changanya na zako
....Hahahaaaa....JF raha sanaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mtaendelea kuweweseka sana mission failed,
Adam anayemuendesha Tundu Lisu siyo dreva ni kijana wake, ndugu yake na amemlea yeye.
Kama ulidhani Lisu ana akili ndogo kama funza wa Lumumba pole.
Ni kwa nini Polisi waliamuru gari zote zitolewe tinted? Walikuwa wanataka wamuone vizuri nani?
Sent using Jamii Forums mobile app