Queen Esther
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,206
- 1,464
Shirika la Ndege la ATCL ni moja ya icon kubwa kwa nchi yetu! Ni wazi inatakiwa kuangaliwa kwa jicho la KIZALENDO hususan ni baada ya taarifa ya CAG kuonesha hasara ya 60 bilioni haikutokana na ufisadi na wizi.
Mambo makubwa yaliyosababisha hasara kwa mujibu wa CAG ni haya yafuatayo:-
Nimefurahi sana leo kusikia sababu za hasara za ATCL hizo ni za ndani na sio ufisadi. Bil 60 hasara ktk mtiririko ufuatao:-
1. Changamoto ya Corona ambapo ndege nyingi zilipaki. Mkataba wa ATCL uliendelea kuitoza fedha ya gharama ya ukodishaji Bil. 15 ambapo imesoma kama loss!! (solution ni mkataba urekebishwe)!! Kipengele cha FM kiwekwe kama CAG alivyoona.
2. Madeni ya kurithi kutoka nyuma. Mpaka sasa tunafaiwa Bil 45. Deni hili limesababisha ndege zetu kuzuiwa kwenda nje ya nchi! (Dawa ya deni ni kulipa serikali ikae na wanaotudai watengeneze mkataba wa makubaliano ya malipo hata kama ni kidogo kidogo )!
3. Viwanja vya ndege sio vizuri; ndege haziruki usiku na zingine huwezi kujaza sababu uwanja hauko sawa!! (Kama ilani ya uchaguzi ya CCM 2020/2025 inavuojieleza Viwanja virekebishwe).
Sio kila hasara ni wizi na ufisadi. Tusikilize na kuchambua taarifa ya CAG tukiwa na open mind.
Tatizo wengi wetu tunaona thinking is difficult tupo busy na judging!!
Mambo makubwa yaliyosababisha hasara kwa mujibu wa CAG ni haya yafuatayo:-
Nimefurahi sana leo kusikia sababu za hasara za ATCL hizo ni za ndani na sio ufisadi. Bil 60 hasara ktk mtiririko ufuatao:-
1. Changamoto ya Corona ambapo ndege nyingi zilipaki. Mkataba wa ATCL uliendelea kuitoza fedha ya gharama ya ukodishaji Bil. 15 ambapo imesoma kama loss!! (solution ni mkataba urekebishwe)!! Kipengele cha FM kiwekwe kama CAG alivyoona.
2. Madeni ya kurithi kutoka nyuma. Mpaka sasa tunafaiwa Bil 45. Deni hili limesababisha ndege zetu kuzuiwa kwenda nje ya nchi! (Dawa ya deni ni kulipa serikali ikae na wanaotudai watengeneze mkataba wa makubaliano ya malipo hata kama ni kidogo kidogo )!
3. Viwanja vya ndege sio vizuri; ndege haziruki usiku na zingine huwezi kujaza sababu uwanja hauko sawa!! (Kama ilani ya uchaguzi ya CCM 2020/2025 inavuojieleza Viwanja virekebishwe).
Sio kila hasara ni wizi na ufisadi. Tusikilize na kuchambua taarifa ya CAG tukiwa na open mind.
Tatizo wengi wetu tunaona thinking is difficult tupo busy na judging!!