lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,164
Hichi chama chetu cha TUICO mimi binafsi sikisomi kabisaaaa! Michanga mnapata tena kwa kutumia withholding method, inakatwa juu kwa juu lakini kwa nini maendeleo ya chama hatuyaoni ukilinganisha na miaka mliokaa tangu kuanzishwa, mpo kama hampo? Ile amsha amsha ya 1990s kushneeeeeey!
Alafu mbona viongozi wenu ngazi za chini njaa kali, wanawatoa sadaka wanachama kwa kuendekeza vijihela vya mboga vya uongozi wa kampuni! Kuliko uende hearing na TUICO bora hata uende na mfanyakazi mwenzio mrengo wa kushoto atakutetea kuwatumbukia nyongo kampuni baaaaas! Ila TUICO never trust them!
Inasikitisha wengi wa sie wafanyakazi wa chini we cant afford lawyers, so matumaini yetu uote yalikuwa kwenye TUICO, ukowategemea they deliver you in person to the devil! Maskini wale ambao hatujaenda shule tunakomaaaa, tunapozwajeeee? Hii b9ra uresign tu hata ukienda mahakamani hushindi mama, Mungu atakusaidia?????? Bora kujitoa mchango wa kila mwezi unywe soda baaaaaaaaaaasss!
Zamani TUICO ilikuwa number 1 kwa kufunga mageti ya viwanda mpaka kieleweke, siku hizi ndowasuluhishi na kuwatuliza watu waumie tu wangoje kudra za mola!
NIMEJITOA RASMI TUICO WANANITIA SHOTI TU,!
SHARE YOUR EXPERIENCE NA TUICO AU CHAMA CHENU CHOCHOTECHA WAFANYAKAZI.!
Alafu mbona viongozi wenu ngazi za chini njaa kali, wanawatoa sadaka wanachama kwa kuendekeza vijihela vya mboga vya uongozi wa kampuni! Kuliko uende hearing na TUICO bora hata uende na mfanyakazi mwenzio mrengo wa kushoto atakutetea kuwatumbukia nyongo kampuni baaaaas! Ila TUICO never trust them!
Inasikitisha wengi wa sie wafanyakazi wa chini we cant afford lawyers, so matumaini yetu uote yalikuwa kwenye TUICO, ukowategemea they deliver you in person to the devil! Maskini wale ambao hatujaenda shule tunakomaaaa, tunapozwajeeee? Hii b9ra uresign tu hata ukienda mahakamani hushindi mama, Mungu atakusaidia?????? Bora kujitoa mchango wa kila mwezi unywe soda baaaaaaaaaaasss!
Zamani TUICO ilikuwa number 1 kwa kufunga mageti ya viwanda mpaka kieleweke, siku hizi ndowasuluhishi na kuwatuliza watu waumie tu wangoje kudra za mola!
NIMEJITOA RASMI TUICO WANANITIA SHOTI TU,!
SHARE YOUR EXPERIENCE NA TUICO AU CHAMA CHENU CHOCHOTECHA WAFANYAKAZI.!