Tuige hii desturi ya wachaga

Mimi ni Mkuria,Baba yangu alishaniambia ukienda mahali popote hapa Tz ukimkosa mchaga ni siishi hilo eneo halifai.

Mie Watoto wangu niliwaambia ukiingia Course yoyote Chuo ukaona hiyo Course haina Mtoto wa Kichaga omba kubadilisha!
 
~~~>>>Arusha ni ya Wameru na Wamasai....... Je umezunguka Arusha nzima na kila kijiwe unauliza unaowakuta makabila yao¿??

Nenda Ungalimited, Sanawari, Barabara ya İlboru n.k hivi ni Vijiwe vichache.... Kawaulize makabila yao.

[HASHTAG]#Rombo[/HASHTAG] wanaongoza kwa mali za Ushirikina.... Fika pale Tarakea kiongozi wao ni jamaa mmoja anaitwa Maulidi
 
Utakufa hivyo hivyo na roho yako ya kwanini...mpuuzy mkubwa wewe!
 
story za kufikirika pole kwa kuzaliwa mdigo

Sio tu za kufikirika but ndizo huwa wanapiga wakiwa wamejilaza kwenye mikeka saa saba mchana tena siku ya jumatatu. Hapo ndio utakaposhangaa nani mchawi kati yake na wachaga. Hovyo kabisa
 

We huoni Kenya wanasonga mbele hatuwapati kiuchumi wao ni developing country na sisi ni least developing country. Wakikuyu walishika madaraka kwanza, hata kama anajua kuiba ila anajua kuzitafuta. Tofauti na wengine wanajua kuiba tu, biashara hawajui, uvivu na madoido yasiyo na kichwa wala miguu. Yaani kwa ujumla wakipata wa naona hakuna kufa.
 
Andiko reeefu kumbe pumba tupu,
wewe wachaga huwajui unawasikia tu.
Wachaga ni wezi
wachaga majambazi
wachaga washirikina,hayo mabiashara yao ni uchawi mtupu.
NENDA kule kwao Romba kila nyumba kuna mtoto taahira ndani.
Wewe ndio taahira kwani huwajua wachaga[emoji20]
 
MTOTO WA KICHAGAA AKIWA NA PESA .... BABA YAKE ANAMWAMKIA " SHIKAMOO MTOTO" HAHAHAHAHAHHAA
 
ELIMU, KUFANYA KAZI, ADABU, HAWAJUI UCHAWI, UBINAFSI...UMEWASAIDI SANA WACHAGGA..
KIKUBWA TEAM WORK NDIO SIRI KUBWA KWAO
 
Mimi ni Mchaga, hili taifa lina tatizo la mila na desturi zinazoturudisha nyuma. Ili tufike mbali inabidi tuamke na tusisubirie msaada kutoka nje. Huku uchagani kuna umoja na kuna tough love. Yaani kuna mapenzi au upendo wa kuchanana ukweli. Ndugu yako wa damu atakufanya uhenyeke ili uijue kazi. Lakini ukishajua A to Z ndo unakuja kuelewa alimaanisha nini. Aisee changamoto nilizopitia kwenye kujitafuta kuna muda niliona ndugu zangu hawafai . Vijana wengi wa kizazi cha leo wasingevumilia. Lakini walikuwa wananifundisha maisha. Kuna makabila unakuta kijana anahudumiwa hela mpaka miaka 35. Pia unakuta kijana baba yake anaongeza mke na hana kazi wala uchumi wa kumudu maamuzi yake. Na kijana anahudumia hiyo familia na anatuma hela nyumbani. Ila kwa mwaka huu 2023 naona baadhi ya watu wamefunguka kiakili na wameamka. Huku uchagani kuna kuchanana live haijalishi umri. Hiyo kitu inasaidia sana .
 
Kweli kabisa mkuu. Wachaga nawakubali sana. big p!
 
Mkuu umeongea ukweli tupu. Kuna Mangi mmoja tulimaliza nsye chuo kimoja. Wakati sisi tunarudi kwa wazazi wetu, yeye akawa anafungasha virago vyake kwenda kuanza maisha ya kujitegemea. Baba wa kichaga akishakusonesha tu, amemaliza kazi. Usitegemee urithi wowote kutoka kwake zaidi ya hiyo elimu aliyokusomesha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…