Tuijadili kauli ya Senzo

rodrick alexander

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2012
Posts
16,784
Reaction score
23,312
Kuna kauli imetolewa na SENZO ambayo imeripotiwa na baadhi ya vyombo vua habari ikimnukuu akisema "kuna baadhi ya Watanzania ni mavuvuzela", mwisho wa kunukuu.

Aliyekuwa kocha wa yanga alitoa kauli ua kuwaita washabiki wa Yanga uneducated.

Baada ya kauli hii tulisikia vyombo vya habari vikija juu pamoja na washabiki wa Yanga kusema amewatukana Watanzania lakini kwenye kauli hii ya senzo pamoja na kuripotiwa na vyombo vya habari lakini sijasikia hata mwandishi mmoja akihoji, mashabiki wakihoji wala viongozi wa TFF wakihoji pamoja na kwamba neno lililotumika ni baadhi ya Watanzania likiwakilisha nchi.

Je, huu ni ulimbukeni au ni double standard au ni mtindo wetu wa kuwaruhusu wageni kututolea maneno yoyote wanavyojisikia?
 
mimi mbona sijasikia, kasemea wapi na kwenye mazingira gani? mazoezini, mkutanoni, kwenye mechi au wapi!
 
mimi mbona sijasikia, kasemea wapi na kwenye mazingira gani? mazoezini, mkutanoni, kwenye mechi au wapi!
Hujaisikia sababu baada ya hiyo kauli kutolewa na kuandikwa na gazeti la mwanaspoti waandishi waliichukulia poa nina hakika hata kauli ya Eymael usingeipata kama sio waandishi wa habari kuikomalia
 
Umeandika huku unapovu. Si utulie uandike vizuri! Unakimbilia wapi sasa?
 
Uwezo wako wa kufikiri ni sifuri hebu tueleze hayo maneno akuyasema katika mazingira gani chunguza Manara alisema nini mpaka Senzo kajibu vile.
 
Huyu mbwa haifahamu Yanga. Ameikuta ataicha. Anapata wapi ujasiri wa kuwaita wanayanga mavuvuzela sababu wanahoji utendaji wake?ndo maana Simba walikuwa wanaelekea kumfukuza akaamua kukimbilia Yanga. Hana anachofanya mbwa huyu.
 
Kwani Rage alivyoita watu ni mambumbumbu ni hatua gani zilichukuliwa?
 
Matusi yanakusaidia nini Senzo hakuwaita Yanga mavuvuzela ila manara ndiye aliyeitwa vuvuzela.
 
Mbona Mwenyekiti wenu wa wakati huo Ismail Aden Rage aliwaita nyinyi mashabiki wa Mwamedi fc "Mbumbumbu" lakini hamkumchukulia hatua yoyote!!

Zaidi tu mmeendelea kusumbuliwa na huo ugonjwa wa umbumbumbu?
 
Matusi yanakusaidia nini Senzo hakuwaita Yanga mavuvuzela ila manara ndiye aliyeitwa vuvuzela.
Ila tukisema Eymael aliwaita yanga manyani mnakataa mnasema aliwqtukana watanzania lakini kwa senzo mlengwa ni manara, lakini kama mlengwa ni manara kwanini hakumtaja ila amesema baadhi ya watanzania
 
Uwezo wako wa kufikiri ni sifuri hebu tueleze hayo maneno akuyasema katika mazingira gani chunguza Manara alisema nini mpaka Senzo kajibu vile.
Uwezo wako ni utopolo kwani Eymael alivyoita manyani alisema katika mazingira gani
 
Mjadalal unaendeshwa wanayanga wakimalza watupe mrejesho na hitimisho

Kelele zao zinachosha
 
Aden Rage alipowaita mbumbumbu kweli hakukosea mijitu gani isioelewa mada inayozungumzwa mwandishi alimwulize Senzo nini cimment yake kuhusu Manara kuishambulia Yanga mara kwa mara Senzo akajibu kwa kumfananisha Manara na vuvuzela nyie wamatopeni mnageuza eti akuwaambia wanayanga kuwa ni mavuvuzela acha kupotosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…