Tuijue Katiba: Rais akifia madarakani, basi makamu wake aliyegombea naye akapigiwa kura anarithi. Je, vipi kama makamu hakupigiwa kura?

Soma katiba, ibara ya 37, ibara ya 50.

Usiulize maswali matupu yasiyojikita kwenye vifungu vya katiba kama mtu mjinga asiyejua kusoma.

Kiti cha rais kikiwa wazi, makamu wa rais anakijaza na kuwa rais, bila kujali kama makamu wa rais kachaguliwa au kateuliwa.

Ushaelewa?
 
Mkuu,

Tanzania bado ni taifa changa sana, CDF akichukua nchi tunaweza poromoka kiuchumi miaka 20 ijayo ...

Hizi mambo za kiraia zitamalizwa tu na Katiba itapatiakana...

Kumlaumu Rais ambaye na yeye alikuta mambo kama yalivyo ni kumuonea bure tu....

Tulikotoka ni kubaya zaid, at least kwa sasa tuna Road map ya Warioba...

Hawa wanaokwiba mali za umma mpaka uchaguzi kwa ujumla wake na wanaachwa na kushamiri kwa machawa ni sehem ya mkakati( mkono wa Mungu?), we shall get better!
At least i hope so
 
Tangu lini wanajeshi wakawa na akili ya kuongoza nchi?
 
Katiba haisemi makamu wa Raisi aliyeoatikana Kwa kuoigiwa kura .. ila wanasheria wa bongo watapindiaha tu Kwa maslahi yao
 
Gerald Ford anabakia mtu pekee kuwa Makamu wa Rais na baadae Rais bila kupigiwa kura huko Marekani.

Je unataka kusema na huko Afghanstan inaweza kutokea?
Gerald Ford alichukua madaraka ya kuwa rais, baada ya rais Nixon kujiuzuru. Tukumbushsne Gerald Ford alikuwa mgombea meenzi wa Nixon na hivyo walishinda kwa kupigiwa kura na wananchi. Hii ni case tofauti kulinganisha na mada iliyoko mezani ambapo makamu wa rais hstokani na ugombea mwrnza.
 
Si kweli Gerald Ford hakuwa mgombea mwenza wa Nixon ila aliteuliwa kuwa Makamo baada ya Spiro Agnew kujiuzulu mwaka 1973, according to history so hajawahi kupigiwa kura na uchaguzi uliofuatia 1976 alishindwa na Jimmy Carter
 
Kwanini unapenda kukurupuka? Fanya tafiti kwanza kabla ya kuandika upupu wako
 
We mwalimu umebadili tena ID
 
Ushauri wa Chala ungefuatwa, tukapata Katiba mpya,

Haya mambo yasingeendelea.
 
Kwa sasa hiki cheo cha urais TZ watu wataanza kukikimbia - maana kinaonekana kugeuka na kuwa na viashiria vya exit door !!
 
Kama ikitokea Katiba yetu ipo kimya basi JWTZ wataingia mzigoni kwa muda wakati tunaweka mambo sawa kufanya uchaguzi mpya.
 
Binafsi huwa namkubali Sana GWAJI BOY
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…