Tuilinde nchi Yetu Tanzania

Tuilinde nchi Yetu Tanzania

situjadiriane

Member
Joined
Jan 5, 2023
Posts
41
Reaction score
49
Tanzania ndio nchi pekee ambayo ni mama Yetu. Hivyo ni lazima tuilinde tuipende na kunilinda. Tanzania ndiyo nchi pekee katika Bara la Africa ambayo imejariwa Amani upendo na mushikamano. Tuilinde tuipende Tanzania
 
Tanzania ndio nchi pekee ambayo ni mama Yetu. Hivyo ni lazima tuilinde tuipende na kunilinda. Tanzania ndiyo nchi pekee katika Bara la Africa ambayo imejariwa Amani upendo na mushikamano. Tuilinde tuipende Tanzania
Tuilinde Tanzania ili tuuize misitu yetu kwa Waarabu.
Tuilinde Tanzania ili tuuze Bandari zetu kwa Waarabu.
Tuilinde Tanzania ili tuuze Airport (Kilimanjaro) kwa Waarabu.
 
Tanzania ndio nchi pekee ambayo ni mama Yetu. Hivyo ni lazima tuilinde tuipende na kunilinda. Tanzania ndiyo nchi pekee katika Bara la Africa ambayo imejariwa Amani upendo na mushikamano. Tuilinde tuipende Tanzania
Watekaji na wauaji wanaiharibu
 
Tanzania ndio nchi pekee ambayo ni mama Yetu. Hivyo ni lazima tuilinde tuipende na kunilinda. Tanzania ndiyo nchi pekee katika Bara la Africa ambayo imejariwa Amani upendo na mushikamano. Tuilinde tuipende Tanzania
Tuilinde kwa mapanga au viwembe,mbona inalindwa siku zote.we hujui Kuna majeshi yanalinda nchi,kaandae shamba mkuu mvua inakaribia
 
Huwezi kuilinda nchi ambayo ina vikosi vya watu wasiojulikana unatakiwa ujilinde mwenyewe
 
Tanzania ndio nchi pekee ambayo ni mama Yetu. Hivyo ni lazima tuilinde tuipende na kunilinda. Tanzania ndiyo nchi pekee katika Bara la Africa ambayo imejariwa Amani upendo na mushikamano. Tuilinde tuipende Tanzania
Kuilinda nchi ni pamoja na kuwaondoa hawa waliopo sasa na kuweka viongozi wapya, serikali mpya makini inayojali na kulinda raia wake, kodi zao, maisha yao na rasilimali zao. Kama hawajali lolote zaidi
 
Back
Top Bottom